Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Neto ni mchezaji machachali, hakuna mtu mule.
Mchezaji kama huyo arsenal alikuwepo alikua anaitwa Nicolus Pepe
Tuletee takwimu za Pepe halafu fananisha na Neto unadharau zakijinga sana kijana huyo Madueke alikimbia namba kwa Neto
 
Tuletee takwimu za Pepe halafu fananisha na Neto unadharau zakijinga sana kijana huyo Madueke alikimbia namba kwa Neto
Unajichosha, tunakushangaa una utimamu hlf unabishana na hawa watu!! Huyo Rogers aliwakataa unategemea wasemeje kuhusu yeye, waulize pia kuhusu Mudryk na vile aliona kuwakataa haitoshi akawatungua mgoli wa video, hawampendiii

Madueke tu kaenda kumueka Saka benchi, sahivi ndio supa staa wao na wakati akiwa chelsea walikua wanamponda, unaona ni wazima hao.
 
Unajichosha, tunakushangaa una utimamu hlf unabishana na hawa watu!! Huyo Rogers aliwakataa unategemea wasemeje kuhusu yeye, waulize pia kuhusu Mudryk na vile aliona kuwakataa haitoshi akawatungua mgoli wa video, hawampendiii

Madueke tu kaenda kumueka Saka benchi, sahivi ndio supa staa wao na wakati akiwa chelsea walikua wanamponda, unaona ni wazima hao.
Dah nimecheka sana 🤣
 
Unaangalia starting eleven unaangalia na benchi unaona wazi mkifungwa basi ibilisi wamehusika kudadeki.

So inabidi leo tushinde angalau 3 mtungi siyo?

I wish yule dogo waliyemsajili, Madjo, angekuepo. Nilitaka kuona tunavyomhandle dogo yupo vizuri kwa umri wake.

Screenshot_20260831-210849~2.jpg
 
Kwahiyo wanaume tunapocheza Alhamis chelsea wanakua wanafanya nini?
 
Unaona kwenye huu uzi hakuna anayekuja kusema tunafungwa?

Hiyo inaitwa fear factor.

Wapinzani hawana uhakika na matokeo against Arsenal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom