Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,419
- 2,952
PFA Bruno Fernandes, cunha, mbeumo, maino, Martinez, lammens, rashford, amad, balebaWewe Huna wachezaji wa maana na ndio maana Nampa nafasi Spurs kumaliza juu yako
Improve reasoning yako, me nasubria GW5 ndio nijue timu bora nizipi
Usajili haumaanishi ubora wa timu kama ingekuwa hivyo nyie mngekuwa na makombe yote maana ndio mnaongoza Kwa sajili miaka yote ivi karibuni