Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe Huna wachezaji wa maana na ndio maana Nampa nafasi Spurs kumaliza juu yako
PFA Bruno Fernandes, cunha, mbeumo, maino, Martinez, lammens, rashford, amad, baleba

Improve reasoning yako, me nasubria GW5 ndio nijue timu bora nizipi
Usajili haumaanishi ubora wa timu kama ingekuwa hivyo nyie mngekuwa na makombe yote maana ndio mnaongoza Kwa sajili miaka yote ivi karibuni
 
Joao Pederito, na hapo timu ilikua haileweki, hilo striker lako japo timu ilikua na msimu bora bado alikua anaruka ruka tu.

Kuna Ekitike na Gyokeres unachukua yupi? au kuna Isak mzima msimu mzima na Gyokeres unachukua yupi?
Sawa.

Sasa andika hapa magoli ya Pedro

Magoli ya Isak

Magoli ya Ekitike

Magoli ya Gyokeres
 
Joao Pederito, na hapo timu ilikua haileweki, hilo striker lako japo timu ilikua na msimu bora bado alikua anaruka ruka tu.

Kuna Ekitike na Gyokeres unachukua yupi? au kuna Isak mzima msimu mzima na Gyokeres unachukua yupi?
Nimependa hapo ulipo sema isack mzima. 😀

Labda ungeweka haaland sio hao unaowataja hapo
 
Sawa.

Sasa andika hapa magoli ya Pedro

Magoli ya Isak

Magoli ya Ekitike

Magoli ya Gyokeres
Nachojua Pedro amelipita roboti lako magoli, tena kwenye timu iliyokua tia maji tia maji, wewe sasa ndio ukatae kwa ushahidi kuweka magoli yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom