Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 50,909
- 122,807
tulia ukazwe bwasheDua zenu ndugu zangu, baneni kende kwa chuma na mawe 🔥
tulia ukazwe bwasheDua zenu ndugu zangu, baneni kende kwa chuma na mawe 🔥
NDio nasikia kwako boss.We umesikia wapi timu zinashinda kisa haki?
sahihiSema wanangu hata msiumie njia mliopita kufika final ilikuwa nyepesi sana , PSG kapita njia ngumu sanaa so alikuwa na haki zaidi.
View attachment 3597802View attachment 3597803
Dua zenu ndugu zangu, baneni kende kwa chuma na mawe
Msimu ujao hamna kupangwa na vibonde kina sporting CP.Ndoto ya uefa inabidi isubiri msimu ujao.
Penati anakosa yoyote yule sio beki au mshambuliajiGab hajawahi piga penalty, ya mwisho inapresha sana..bora ukose za mwanzo kuliko mwisho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyau mmeidhalilisha Epl aiseee, yaani wenzenu wote walioshiriki michuano ya ulaya msimu huu wameleta makombe nyumbani halafu nyinyi mnarudi mikono mitupu hamuoni hata aibu?Hongereni Gunners.
Siyo mbaya.
Next season tutachukua hili kombe.
Hapo ni kumaliza wa kwanza ili njia iwe rahisi tena.Ndoto ya uefa inabidi isubiri msimu ujao.
Kupoteza ni kupoteza.Kupoteza kwa penalties siyo mbaya sana.
Ila nalaumu kuwaruhusu PSG kucheza mpira zaidi yetu mpaka kusababisha kosa lililozaa penalty yao.
Natumaini tutajifunza.
Mbrazil wa kwerekwe hhhhhhhDaaah!!!!! Ilikuawaje Gabriel ndo akawa last penalty taker?