Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asipochukua jee, acha atambe sasa, tukibeba na uefa tutamba zaidi..
Unataka aache kula kwa mama ntilie kwa kutegemea ubwabwa wa shughulini.. akikuta umeisha je ama mbichi [emoji23][emoji1787]
Nimechekaa sanaa, na ninaona wazi kuna mushkeli katika kunyanyua kwapa la UEFA.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe mjuba wa kutoka wapi tena? [emoji81][emoji81]
Ukisema hivyo mtu kanikamatia sipendi, yaani mimi ni yule mwali kigego km Arsenal sijali watu wanasema nini nafocus tu!! [emoji81][emoji81]

Wewe sema uko wapi nitume mtu afate..!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…