Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 47,719
- 114,262
Na wanakamaria hapo ndipo wanapopiga pesa kwenye hizo odds 26Kanjibai anamkataa burnley lakin kuna mjinga mmoja anakuambia naiona nafasi ya kipara pale juu
View attachment 3590452
Na wanakamaria hapo ndipo wanapopiga pesa kwenye hizo odds 26Kanjibai anamkataa burnley lakin kuna mjinga mmoja anakuambia naiona nafasi ya kipara pale juu
View attachment 3590452
Na wanakamaria hapo ndipo wanapopiga pesa kwenye hizo odds 26
Unyama 🔥View attachment 3590837
Tuna imani na Barnley.
Tunamkojoza chap.Comeon Burnley 🔥
Tumeanza game slow sana..tunahitaji goli 2 before HTArsenal waache upumbavu. Muda wa magoli ni huu.
Hii mechi ni ngumu kuliko ile ya mwisho. Wapinzani wetu Leo hawana cha kupoteza, Kila mchezaji wao Leo anajiuza.Tumeanza game slow sana..tunahitaji goli 2 before HT
Ngumu sana..kwenye makaratasi unaona tunashida kirahisiHii mechi ni ngumu kuliko ile ya mwisho. Wapinzani wetu Leo hawana cha kupoteza, Kila mchezaji wao Leo anajiuza.
Hii mechi ina hatima ya ubingwa wa Arsenal. Wafanye wanachoweza ili kushida.Ngumu sana..kwenye makaratasi unaona tunashida kirahisi