Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,476
- 8,710
Leo saa tatu tutakuwa tunachekea chooni 🤣🤣🤣
west ham 3-1 asenyo☺️
west ham 3-1 asenyo☺️
Leo ni fainali kwa Arsenal. Kwa nini? Mechi nyingine anapiga na Burnley ambayo ni wachovu walioshuka daraja, tena nyumbani. Mechi ya mwisho anakipiga na Palace kwao. Itakuwa ni siku ya Jumapili, na Jumatano itakayofuata Palace atacheza fainali za Europe, hivyo sidhani kama ataizingatia sana hiyo ya Arsenal. Hivyo mechi ya leo ni kama fainali kwao.Arsenal akishinda leo ana 90% ya ubingwa.
Arsenal kombe lao mwaka huu. Mechi ya leo sioni West Ham wakishinda japo ni ngumu sana. Yes, wanacheza kama fainali ili wasishuke daraja lakini Arsenal wakitulia watawapiga si chini ya goli 3. Hata wakitoa draw bado wana nafasi ya kushinda ligi kwa tofauti ya magoli kwa sababu mechi zake zilizobakia siyo ngumu sana. Burnley keshateremka na Gunners wanachezea nyumbani. Mechi ya mwisho na Palace, Palace watachezesha team B kwa sababu watakuwa wanajiandaa kwa fainali ya Europe siku mbili baadae. Hata kama atatoa draw leo, mechi nyingine akiweza kupata goals 3 na 4. City hawezi kumfikia kirahisi.Kwenye mechi zenu zilizobaki mie nawekeza pesa ili kuvuna mamilioni maana mko kwenye ile moment hamtakiwi kutoa droo au kufungwa.
Msiniangushe kenge maji nyie
Come On You Gunners,
Hili liko wazi, leo arsenal akishinda ana ubingwa kwa 90%...Leo ni fainali kwa Arsenal. Kwa nini? Mechi nyingine anapiga na Burnley ambayo ni wachovu walioshuka daraja, tena nyumbani. Mechi ya mwisho anakipiga na Palace kwao. Itakuwa ni siku ya Jumapili, na Jumatano itakayofuata Palace atacheza fainali za Europe, hivyo sidhani kama ataizingatia sana hiyo ya Arsenal. Hivyo mechi ya leo ni kama fainali kwao.
Muhimu kukaza zaidi, tushinde game zetu tu.Maamuzi mengi yalikua hovyo. Hata hivyo Brentford kufungwa ni sawa coz alicheza na City kama Arsenal inavyocheza na City.
Chance ikija unashangaa forwards zinafanya miyeyusho.
Sahihi... .wacha tuone ... Pep naona keshatupa taulo, mshindwe nyie sasa !Kimahesabu jana City asingeshinda Arsenal ilibidi kushinda leo na mechi ijayo tu.
Ya kufungia msimu ilikua haina haja tena. Na bado hizo hesabu zipo vilevile. City hajadrop points jana ila akipoteza mechi ijayo na Arsenal ikishinda leo means ashinde na game inayofuata tu
Tufike mara ngapi?Hivi mtafika uefa?
Jana nimekaa kwenye uzi wenu peke yangu.Tufike mara ngapi?
Kule kwa mayatima unatafuta nini mkuu.Jana nimekaa kwenye uzi wenu peke yangu.
Mmechoka kucriticise na kusifia pamekua kimya sana.Kule kwa mayatima unatafuta nini mkuu.