kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,900
- 18,051
Mathematically Burnley na Wolverhampton wameshaenda na maji .....Bado mmoja ambaye ni spurs ama West Ham... spurs ana point 37, West Ham 36.... wote wana chance ya kupigania hadi pumzi ya mwisho....
Kwa EPL walau ili uwe safe kwenye relegation zone upambane uokote walau point 40+.... wote hawa wawili wanapambania hilo ....
Sitoshangaa Leo mkaliwa ama mka_draw... mechi ni ngumu sana, majamaa yanataka kubaki EPL na nyie mnataka ubingwa baada ya miaka karibia 30 !
Lolote liwakute
Kwa EPL walau ili uwe safe kwenye relegation zone upambane uokote walau point 40+.... wote hawa wawili wanapambania hilo ....
Sitoshangaa Leo mkaliwa ama mka_draw... mechi ni ngumu sana, majamaa yanataka kubaki EPL na nyie mnataka ubingwa baada ya miaka karibia 30 !
Lolote liwakute