Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mathematically Burnley na Wolverhampton wameshaenda na maji .....Bado mmoja ambaye ni spurs ama West Ham... spurs ana point 37, West Ham 36.... wote wana chance ya kupigania hadi pumzi ya mwisho....

Kwa EPL walau ili uwe safe kwenye relegation zone upambane uokote walau point 40+.... wote hawa wawili wanapambania hilo ....
Sitoshangaa Leo mkaliwa ama mka_draw... mechi ni ngumu sana, majamaa yanataka kubaki EPL na nyie mnataka ubingwa baada ya miaka karibia 30 !

Lolote liwakute
 
Mathematically Burnley na Wolverhampton wameshaenda na maji .....Bado mmoja ambaye ni spurs ama West Ham... spurs ana point 37, West Ham 36.... wote wana chance ya kupigania hadi pumzi ya mwisho....

Kwa EPL walau ili uwe safe kwenye relegation zone upambane uokote walau point 40+.... wote hawa wawili wanapambania hilo ....
Sitoshangaa Leo mkaliwa ama mka_draw... mechi ni ngumu sana, majamaa yanataka kubaki EPL na nyie mnataka ubingwa baada ya miaka karibia 30 !

Lolote liwakute
Umemaliza ndugu yetu?

20260510_124910.jpg
 
Mathematically Burnley na Wolverhampton wameshaenda na maji .....Bado mmoja ambaye ni spurs ama West Ham... spurs ana point 37, West Ham 36.... wote wana chance ya kupigania hadi pumzi ya mwisho....

Kwa EPL walau ili uwe safe kwenye relegation zone upambane uokote walau point 40+.... wote hawa wawili wanapambania hilo ....
Sitoshangaa Leo mkaliwa ama mka_draw... mechi ni ngumu sana, majamaa yanataka kubaki EPL na nyie mnataka ubingwa baada ya miaka karibia 30 !

Lolote liwakute
Arsenal akishinda leo ana 90% ya ubingwa.
 
Uzuri hili kombe linaamuliwa na maamuzi yetu.

Kwahyo maamuzi ni kwetu.

Hizi mechi zilizobaki Rice ndio angeachwa apange kikosi nauhakika Ode atakaa benchi.

Ila kwa yule fala wetu tegemea ode aanze na Eze atamuweka nje.
 
Tumerudi Tena mzigoni.Wanetu wa Nyundoz tunamng'ang'ania mtu leo.Ndoto za Quadruple tunaziounguza tena leo.

Sisi sio wale Fulham ambapo Leno anajifungisha makusudi.Smith Rowe anapata nafasi ya kufunga ila anapiga tushuti au pembeni.

😀😀😀😀
 
Nimeona kwenye mtandao, kwanini haikuwa red card? Ama wanatala city abebe kombe nini?
Maamuzi mengi yalikua hovyo. Hata hivyo Brentford kufungwa ni sawa coz alicheza na City kama Arsenal inavyocheza na City.

Chance ikija unashangaa forwards zinafanya miyeyusho.
 
Sure mkuu...mkishinda Leo mvikwe taji lenu ..... mechi ngumu naona ni Leo....
Kimahesabu jana City asingeshinda Arsenal ilibidi kushinda leo na mechi ijayo tu.

Ya kufungia msimu ilikua haina haja tena. Na bado hizo hesabu zipo vilevile. City hajadrop points jana ila akipoteza mechi ijayo na Arsenal ikishinda leo means ashinde na game inayofuata tu
 
Baada ya city kutoa droo na Toffees kimahesabu arsenal hana haja ya kufuatilia tena matokeo ya City bali awekeze kwenye kushinda mechi zake tu anyanyue kwapa ila ukikuta mnavyoikosoa timu wapinzani wa city utadhani bado mmeachwa point 2
 
Kwenye mechi zenu zilizobaki mie nawekeza pesa ili kuvuna mamilioni maana mko kwenye ile moment hamtakiwi kutoa droo au kufungwa.
Msiniangushe kenge maji nyie
Come On You Gunners,
 
Back
Top Bottom