Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usi pangie wanaume namna ya kumuadabisha mwali wetu
Haya maneno Huwa kabla ya game ila kikosi kikitoka na mpira tukianza utaanza kusikia mara huyu anakaa vipi bench, mara arteta anaruhusu vipi wasiojua mpira kujiona wanajua , mara wachezaji wa Chelsea.

Mwisho kabisa mnaanza kuwaita mods wasiwahusishe kwenye mpira😀
 
1777479395007.jpeg

Artemis II hiyo imeganda kwa Anga.
Leoo jamani leoo heee.
 
Arsenal, mnamtaka nani fainali kati ya PSG na Bayern
Kumbuka PSG kuna Kvara na Doue
Bayern kuna Olise na Diaz
Mwaka huu hawana amsha amsha sijui kisa hivi vipigo 5 mfululizo ?
Last year wapo quater final walivyomfunga Madrid game ya kwanza tu wakaitisha kikao.

Nakumbuka castr,mkorea, Henry 14, na hamiss77 akatoka mafichoni wakaanza kuchagua team watakayocheza nayo final 😂😂.
Kura zikapigwa watu wakasema tunamtaka Barcelona ili tulipize kisasi
 
Mnachekesha.... kwa hio mnataka UCL kwa forward ya madueke, martineli na Jokeres ?

Tupo na nyie mpaka fainali na kushangilia ubingwa kama mambo ndio haya
 
Dogo team yako ya epl iko uefa ya mchangani ehh
With all due respect 🙏 man.... usirudie tena kuniita dogo.... umevuka mipaka ! I'd yangu ni ya '14 , pengine ulikuwa Std 7 au six....

Back to the topic, timu yangu haiusiani hapa kwa Leo.... tupo tunawaangalia muwatoe atleti, then fainali mchague wenyewe.... Diaz, olise kane ama dembele, kvara na doue
 
"Best team in the world." Bayern.

Alikufa 3 hapo Emirates.

Madrid alikufa nje ndani.

Atletico alikufa nne.

PSG alikufa 2.

Timu tatu zilizo final msimu huu zote zimechezea bakora kwa Arsenal.
 
Hii penati hadi mtangazaji anakuambia ni penati VAR iangalie tu kama inahitajika na yellow
 
Mwaka huu hawana amsha amsha sijui kisa hivi vipigo 5 mfululizo ?
Last year wapo quater final walivyomfunga Madrid game ya kwanza tu wakaitisha kikao.

Nakumbuka castr,mkorea, Henry 14, na hamiss77 akatoka mafichoni wakaanza kuchagua team watakayocheza nayo final 😂😂.
Kura zikapigwa watu wakasema tunamtaka Barcelona ili tulipize kisasi
Tunamtaka mmojawapo wa jana Fainali, wacheze kama walivyocheza jana kama wamekatwa vichwa waone.

Kila Counter goli..na beki zao za wasiwasi.
 
With all due respect 🙏 man.... usirudie tena kuniita dogo.... umevuka mipaka ! I'd yangu ni ya '14 , pengine ulikuwa Std 7 au six....

Back to the topic, timu yangu haiusiani hapa kwa Leo.... tupo tunawaangalia muwatoe atleti, then fainali mchague wenyewe.... Diaz, olise kane ama dembele, kvara na doue
Hahaha nimecheka Sana, no offense lakini 2014 I was there hizo I'd no zisikupe mzuka.
Dogo ni normal word tu, I mean no malice to nobody.

Back to the topic mmesha kubali tunaenda final?, maana wenzio wana attack kishenzi.
 
Back
Top Bottom