Haya maneno Huwa kabla ya game ila kikosi kikitoka na mpira tukianza utaanza kusikia mara huyu anakaa vipi bench, mara arteta anaruhusu vipi wasiojua mpira kujiona wanajua , mara wachezaji wa Chelsea.Usi pangie wanaume namna ya kumuadabisha mwali wetu
Pumbafu subiri game ianzeHaya maneno Huwa kabla ya game ila kikosi kikitoka na mpira tukianza utaanza kusikia mara huyu anakaa vipi bench, mara arteta anaruhusu vipi wasiojua mpira kujiona wanajua , mara wachezaji wa Chelsea.
Mwisho kabisa mnaanza kuwaita mods wasiwahusishe kwenye mpira😀
Mwaka huu hawana amsha amsha sijui kisa hivi vipigo 5 mfululizo ?Arsenal, mnamtaka nani fainali kati ya PSG na Bayern
Kumbuka PSG kuna Kvara na Doue
Bayern kuna Olise na Diaz
Dogo team yako ya epl iko uefa ya mchangani ehhMnachekesha.... kwa hio mnataka UCL kwa forward ya madueke, martineli na Jokeres ?
Tupo na nyie mpaka fainali na kushangilia ubingwa kama mambo ndio haya
With all due respect 🙏 man.... usirudie tena kuniita dogo.... umevuka mipaka ! I'd yangu ni ya '14 , pengine ulikuwa Std 7 au six....Dogo team yako ya epl iko uefa ya mchangani ehh
Tulia uangalie wakubwa wakiwa kwenye makombe makubwa wakipambanaMnachekesha.... kwa hio mnataka UCL kwa forward ya madueke, martineli na Jokeres ?
Tupo na nyie mpaka fainali na kushangilia ubingwa kama mambo ndio haya
Tunamtaka mmojawapo wa jana Fainali, wacheze kama walivyocheza jana kama wamekatwa vichwa waone.Mwaka huu hawana amsha amsha sijui kisa hivi vipigo 5 mfululizo ?
Last year wapo quater final walivyomfunga Madrid game ya kwanza tu wakaitisha kikao.
Nakumbuka castr,mkorea, Henry 14, na hamiss77 akatoka mafichoni wakaanza kuchagua team watakayocheza nayo final 😂😂.
Kura zikapigwa watu wakasema tunamtaka Barcelona ili tulipize kisasi
Leo Madueke kasikia criticism za watu kabadilika, hakai na mali sana.Hii penati hadi mtangazaji anakuambia ni penati VAR iangalie tu kama inahitajika na yellow
Naona leo unamwangalia bingwa wako mpya (Arsenal).Friends of Madrid, tutarudi na nguvu tele
Hahaha nimecheka Sana, no offense lakini 2014 I was there hizo I'd no zisikupe mzuka.With all due respect 🙏 man.... usirudie tena kuniita dogo.... umevuka mipaka ! I'd yangu ni ya '14 , pengine ulikuwa Std 7 au six....
Back to the topic, timu yangu haiusiani hapa kwa Leo.... tupo tunawaangalia muwatoe atleti, then fainali mchague wenyewe.... Diaz, olise kane ama dembele, kvara na doue