Naona wewe ni fans mwenye roho ngumu, nenda kwenye page ya arsenal kaangalie comment za fans wenzako .Nusu Fainali...Haters vipi huko?
Hiyo mipira mizuri tumecheza sana, pasi nyingi mwisho wa siku hatubebi chochote.Naona wewe ni fans mwenye roho ngumu, nenda kwenye page ya arsenal kaangalie comment za fans wenzako .
Wenzako wanalalamika wamecheza boring game home na kutengeneza chance kwenye open play wameshindwa watawezaje ugenini Etihad.
There is no arsenal haters mzee kwanini tuwachukie wakati mnatupa burudani Kila ifikapo April
Arsenal Haina defence nzuri ni vile tu ikikutana na team ambayo haishambulii ndio inaonekana ina defence nzuri ila ikikutana na watu wasiopoa kama Bournemouth na city j2 hata hio atletico utaniambia.Arsenal mtaenda fainali, Kwa jinsi ninavyoona...Arsenal kwenye defence mko vizuri.
Kwahiyo mtabeba kwa pira hili la zero open chance created?Hiyo mipira mizuri tumecheza sana, pasi nyingi mwisho wa siku hatubebi chochote.
Kwa hatua timu ilipofika lazima tusemwe tu, Jana United kafungwa na Leeds hakuna anayejali, ila Arsenal kelele za kutosha.
Tukutane Etihad weekend.
Kuna mtu aliwahi kusema if you want to beat Real Madrid you don't need good players, bt you just need a FAIR referee and that's all😅Mpira umeisha.
Wachezaji wa Madrid wanamzonga refa na kumnyooshea vidole imebidi officials wasindikizwe nje ya uwanja.
Guler akawa anazidi kuwazonga, akala red.
Mechi imeisha na kala red
We kenge hizi comments zako zinadhihirisha wazi kbsa kwamba hujui chochote kuhusu mpira na pia inaonekana umeanza kufuatilia Mpira juzi tu.Kwahiyo mtabeba kwa pira hili la zero open chance created?
Achana na mpira mzuri hata Ile basic football hamna kabisa.
Mnacheza kama ligi ya bongo mtu anapiga pasi ilimradi ni pasi.
Lini umemuona united, Chelsea, Liverpool anaongoza points 9 Bado mechi 7 then akakosa ubingwa.
Man utd ,Chelsea , man city, Liverpool wakisema team yao Bora na makombe pia unayaona , tofauti na nyinyi.
Man city saivi wao wanaona team yao sio Bora hata wewe mwenyewe unaona city haupo kwenye ubora wake lakini pamoja na hayo Bado itaondoka na 3 trophies (EPL, FA, carabao)
Huu msimu Arsenal imecheza mechi Zaidi ya 45 na Manchester United pekee ndo iliyofanikiwa kuifunga mabao 3, galaxy unakenua lidomo bila aibu unasema hatuna defence nzuri.Arsenal Haina defence nzuri ni vile tu ikikutana na team ambayo haishambulii ndio inaonekana ina defence nzuri ila ikikutana na watu wasiopoa kama Bournemouth na city j2 hata hio atletico utaniambia.
Kama wachezaji kocha mpaka mashabiki hawatachanganyikiwa
Unateseka ukiwa wapi bro😅Hizi hatuna hazina msaada wowote pasipo kombe .
Umeona hapa hapatoshi ukakimbia mpaka kwenye page za Arsenal kusoma comments.Naona wewe ni fans mwenye roho ngumu, nenda kwenye page ya arsenal kaangalie comment za fans wenzako .
Wenzako wanalalamika wamecheza boring game home na kutengeneza chance kwenye open play wameshindwa watawezaje ugenini Etihad.
There is no arsenal haters mzee kwanini tuwachukie wakati mnatupa burudani Kila ifikapo April
Oyaa,hebu tupe statistics za huyo Hojlmund wako tuone😅Leo mkijichanganya mkavaa bikini wahuni wataisogeza pembeni na kusokomeza mzigo. !!!!
Msisahau Leo Hojlmund yupo , last game alikuwa na suspension kama sijakosea
Wewe jamaa huwa ni mpumbavu wa kufikiriArsenal Haina defence nzuri ni vile tu ikikutana na team ambayo haishambulii ndio inaonekana ina defence nzuri ila ikikutana na watu wasiopoa kama Bournemouth na city j2 hata hio atletico utaniambia.
Kama wachezaji kocha mpaka mashabiki hawatachanganyikiwa
Ongeza hapo arsenal ndio club pekee ambayo haija poteza kwenye uefa champions league.Huu msimu Arsenal imecheza mechi Zaidi ya 45 na Manchester United pekee ndo iliyofanikiwa kuifunga mabao 3, galaxy unakenua lidomo bila aibu unasema hatuna defence nzuri.
Kwenye UCL tumecheza na Bayern, Atletico Madrid, Inter Milan na Sporting CP na hakuna timu iliyofanikiwa kutufunga magoli matatu.
Uwe unafanya analysis ya kutosha kabla hujaandika chochote humu.Acha kukurupuka.
Jamaa ni jinga kbsa yaani Hajui lolote kuhusu mpira kazi ni kubwabwaja tuWewe jamaa huwa ni mpumbavu wa kufikiri