Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa mnakutana na mhuni awafundishe soka ....

Hao tu sporting wamewatoa jasho.... mmepita tu kwa bahati, hata soka lenu halieleweki ....

Haya tuseme mmefika final... mkutane na PSG ya kina Neves, vitinha, nuno, hakimi nk ama mkutane na kina kimmich, kane, Olise ? Lazima mlombwe matundu yote

Nyie ni fungu la kukosa ......mkizubaa pia eipielo Pep atapita nayo ...hamtaamini
 
Sasa mnakutana na mhuni awafundishe soka ....

Hao tu sporting wamewatoa jasho.... mmepita tu kwa bahati, hata soka lenu halieleweki ....

Haya tuseme mmefika final... mkutane na PSG ya kina Neves, vitinha, nuno, hakimi nk ama mkutane na kina kimmich, kane, Olise ? Lazima mlombwe matundu yote

Nyie ni fungu la kukosa ......mkizubaa pia eipielo Pep atapita nayo ...hamtaamini
Bwabwaja kabisa ukichoka utanyamaza
 
Screenshot_20260416_095726_Chrome.jpg
UKIYAONA MAPYA, basi Jua fika, WEWE NDO MPYA
 
Arsenal Haina defence nzuri ni vile tu ikikutana na team ambayo haishambulii ndio inaonekana ina defence nzuri ila ikikutana na watu wasiopoa kama Bournemouth na city j2 hata hio atletico utaniambia.
Kama wachezaji kocha mpaka mashabiki hawatachanganyikiwa
Arsenal haina defense nzuri 😂😂😂

Taja timu yenye defense nzuri tuanze kuangalia statistics hapa
 
Arteta nae matako yake
Sijaona mchezaji yoyote wa kumuweka gabriel jesus bench, jesu akiwa fiti ndio striker bora zaidi kwa arsenal hili nasema kila siku, anayofanya hakuna mchezaji anaweza kuyafanya pale arsenal.

Zubimendi ni mzuri kwenye kukaba ila kucheza sio bora saana,
Aisee yule partey ni vile tu ngozi ya tako ilimponza sijuk, lakin timu ilikuwa bado inamuhitaji saana, katika suala zima la progression partey ni nux, anachukua mpira anageuka, anasogea, anaachia mali, ila zubi ukija ni atarudisha ama atapiga pasi ya pembeni, jambo ambalo halina msaada kwenye kuandaa shambulizi.
 
Arsenal Haina defence nzuri ni vile tu ikikutana na team ambayo haishambulii ndio inaonekana ina defence nzuri ila ikikutana na watu wasiopoa kama Bournemouth na city j2 hata hio atletico utaniambia.
Kama wachezaji kocha mpaka mashabiki hawatachanganyikiwa
Hizo mkuu ni moments zinatokea Kwa timu yoyote Tu hata uwe na defence nzuri lazima kuna mechi utatoboka vibaya, kama sijakosea hawa Jamaa wa Arsenal watakuwa ni wa Kwanza au wa pili Kwa kufungwa Magoli machache...Kwenye defence hizi timu zetu nyingine zina shida Bora arsenal.
 
Arteta nae matako yake
Sijaona mchezaji yoyote wa kumuweka gabriel jesus bench, jesu akiwa fiti ndio striker bora zaidi kwa arsenal hili nasema kila siku, anayofanya hakuna mchezaji anaweza kuyafanya pale arsenal.

Zubimendi ni mzuri kwenye kukaba ila kucheza sio bora saana,
Aisee yule partey ni vile tu ngozi ya tako ilimponza sijuk, lakin timu ilikuwa bado inamuhitaji saana, katika suala zima la progression partey ni nux, anachukua mpira anageuka, anasogea, anaachia mali, ila zubi ukija ni atarudisha ama atapiga pasi ya pembeni, jambo ambalo halina msaada kwenye kuandaa shambulizi.
Mkuu timu "steam" imekata sio wachezaji wabovu, CL mpaka sasa hatujapoteza mechi hata moja na tumecheza na hao akina Bayern, Athletico tunaotishiwa nao sasa.

Arsenal haijafika SF kwa bahati mbaya kama haters wanavyoropoka, Majeruhi ya wachezaji wetu muhimu yanachangia kufanya benchi letu kuwa jembamba na kukosekana kwa options.

Sioni cha ajabu Hao akina Bayern walichonacho tuwaogope kihivyo. Ni kuombea vyuma vyetu virudi tukawapelekee moto.

Hakuna timu ya kututisha iliyobaki amini hivyo.
 
Arsenal haina defense nzuri 😂😂😂

Taja timu yenye defense nzuri tuanze kuangalia statistics hapa
Labda standard ziko tofauti kama unavyosema Hilo sishangai.
Man city hana defence nzuri lakini kafungwa goals 28 . Arsenal ana defence nzuri na ndio best defence lakini kafungwa goals 24. Tofauti ya goals 4 na timu isiyokua na defence nzuri.
Arsenal hii ambayo fans wanasema ndio best team in the world kwa sasa inamaliza msimu with zero trophy na city ambayo fans wake wanaona haipo vizurrii inamaliza na makombe 3 kabatini.

Kweli Kila timu ina standard zake.
 
Huu msimu Arsenal imecheza mechi Zaidi ya 45 na Manchester United pekee ndo iliyofanikiwa kuifunga mabao 3, galaxy unakenua lidomo bila aibu unasema hatuna defence nzuri.

Kwenye UCL tumecheza na Bayern, Atletico Madrid, Inter Milan na Sporting CP na hakuna timu iliyofanikiwa kutufunga magoli matatu.

Uwe unafanya analysis ya kutosha kabla hujaandika chochote humu.Acha kukurupuka.
WHY ARGUE WITH ARSENAL FANS WHEN YOU CAN JUST WAIT
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    9.5 KB · Views: 4
Labda standard ziko tofauti kama unavyosema Hilo sishangai.
Man city hana defence nzuri lakini kafungwa goals 28 . Arsenal ana defence nzuri na ndio best defence lakini kafungwa goals 24. Tofauti ya goals 4 na timu isiyokua na defence nzuri.
Arsenal hii ambayo fans wanasema ndio best team in the world kwa sasa inamaliza msimu with zero trophy na city ambayo fans wake wanaona haipo vizurrii inamaliza na makombe 3 kabatini.

Kweli Kila timu ina standard zake.
Ukisema Arsenal ana best defense hayo ni maoni yako. Sidhani kama kuna mtu amewahi sema hivyo

Shida yako ni kusahau na kuhamisha magoli. January City ilibidi iongeze defenders na ndiyo wamepunguza kuconcede baada ya kusajili January.

Arsenal defense yake ipo hivyo tangu mwaka gani? Tangu mwaka gani Arsenal anakua miongoni mwa timu zilizoconcede magoli machache?

Sasa tunaongelea defense unaongelea trophies. Tuanze kimoja kimoja, tukisettle swala la defense tutakuja kwenye trophies
 
Labda standard ziko tofauti kama unavyosema Hilo sishangai.
Man city hana defence nzuri lakini kafungwa goals 28 . Arsenal ana defence nzuri na ndio best defence lakini kafungwa goals 24. Tofauti ya goals 4 na timu isiyokua na defence nzuri.
Arsenal hii ambayo fans wanasema ndio best team in the world kwa sasa inamaliza msimu with zero trophy na city ambayo fans wake wanaona haipo vizurrii inamaliza na makombe 3 kabatini.

Kweli Kila timu ina standard zake.
Inabidi uwe delusional mno kudeclare City hana defense nzuri. Sielewi unatumia nini kufikiria na kufikia conclusion ya taarifa unazoziona
 
Ukisema Arsenal ana best defense hayo ni maoni yako. Sidhani kama kuna mtu amewahi sema hivyo

Shida yako ni kusahau na kuhamisha magoli. January City ilibidi iongeze defenders na ndiyo wamepunguza kuconcede baada ya kusajili January.

Arsenal defense yake ipo hivyo tangu mwaka gani? Tangu mwaka gani Arsenal anakua miongoni mwa timu zilizoconcede magoli machache?

Sasa tunaongelea defense unaongelea trophies. Tuanze kimoja kimoja, tukisettle swala la defense tutakuja kwenye trophies
Kusema arsenal ana best defense sio maoni yangu Bali ndivyo 98% ya arsenal fans wanasema ivyo. Kusema hudhani kama kuna mtu kasema ivyo wakati naweza nikakuletea humu humu zaidi ya arsenal fans wakisema ivyo.

Toka 2023/2024 GA kwenu ni ndogo without trophy though😀.

Nielewe vipi sasa msimu huu man city ana defense nzuri au hana na arsenal ana best defense au hana? Nembu nijibu hapo kwanza

Hutakii niongelee trophies?? Niongelee Nini wakati trophies ndio ngao yangu kwenu .
 
Kusema arsenal ana best defense sio maoni yangu Bali ndivyo 98% ya arsenal fans wanasema ivyo. Kusema hudhani kama kuna mtu kasema ivyo wakati naweza nikakuletea humu humu zaidi ya arsenal fans wakisema ivyo.

Toka 2023/2024 GA kwenu ni ndogo without trophy though😀.

Nielewe vipi sasa msimu huu man city ana defense nzuri au hana na arsenal ana best defense au hana? Nembu nijibu hapo kwanza

Hutakii niongelee trophies?? Niongelee Nini wakati trophies ndio ngao yangu kwenu .
Dah 😂

Defense ya City kama siyo timu inayotaka kushindana kimakombe kabla ya January ilikua inatosha. January ilikua ni mpango wa Pep kuhakikisha anarudi kila angle.

Too bad imekua exposed na Madrid. But huwezi toka mbele za watu ukasema defense yao ni shit. Chelsea na Manchester united wasemaje?

Arsenal ana defense nzuri. Best? Ni subjective ila kwamba defense ni nzuri hilo hakuna atayepinga. Wewe mwenyewe umeangalia takwimu umeogopa.
 
Arteta kaipeleka Arsenal nusu final CL mara mbili.

Pep kaipeleka City nusu final CL mara tatu.

Pep yupo City kwa miaka 10
Mbona humaliziii ana EPL 7 hii ya 8 na UEFA 1.

Ana EPL na UEFA nyingi kuliko arsenal fans yeyote yule humu ndani yaani dogo alieanza kushabikia man city alipongia pep ameshuhudia makombe mengi zaidi ya father alieanza kushabikia arsenal mwaka 1990😂.

To be an arsenal fan ni tabuu sana point yoyote utakayotoa humu ndani inaweza kupinduliwa kivyovyote vile
 
Mkuu timu "steam" imekata sio wachezaji wabovu, CL mpaka sasa hatujapoteza mechi hata moja na tumecheza na hao akina Bayern, Athletico tunaotishiwa nao sasa.

Arsenal haijafika SF kwa bahati mbaya kama haters wanavyoropoka, Majeruhi ya wachezaji wetu muhimu yanachangia kufanya benchi letu kuwa jembamba na kukosekana kwa options.

Sioni cha ajabu Hao akina Bayern walichonacho tuwaogope kihivyo. Ni kuombea vyuma vyetu virudi tukawapelekee moto.

Hakuna timu ya kututisha iliyobaki amini hivyo.
Ukichunguza hayo niliyoandika yana ukweli 100%
 
Mbona humaliziii ana EPL 7 hii ya 8 na UEFA 1.

Ana EPL na UEFA nyingi kuliko arsenal fans yeyote yule humu ndani yaani dogo alieanza kushabikia man city alipongia pep ameshuhudia makombe mengi zaidi ya father alieanza kushabikia arsenal mwaka 1990😂.

To be an arsenal fan ni tabuu sana point yoyote utakayotoa humu ndani inaweza kupinduliwa kivyovyote vile
Sawa wewe pindua tu ila Arsenal ikichukua kombe usisahau kwenda kula ubwabwa
 
Back
Top Bottom