Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alikua anasubiri ulete energy drinks nasikia wewe ndo umesababisha umeingia mitini na energy drinks 😀
 
Nitajie match 5 ambayo arsenal alicheza vizurrii.
Nyinyi ni mnategemea set pieces ila mpira hamna kabisa zaidi ya possession ya back passes.
Midfielders yupo zubimendi ,rice na Kai ni yupi anaweza aka dribble na kumpita hata mchezaji mmoja pinzani then akatengeneza nafasi?
Last games 10 za arsenal zinatofauti gan na game ya leo?

Team kuanzia dakika ya kwanza ina defence unajiuliza hivi arsenal fans mna akili kweli nyinyi mkijiita mabingwa.
 
Arteta yupo busy kuwashikisha wachezaji pens na leo kawafungia ma tv makubwa uwanjani.

Kocha hajui hata tatizo la team yake ni Nini? Ma tv na pen zitasaidia vipi zubimendi kupiga japo pass 5 za mbele au kudribble ampite mtu hata mmoja .
Tatizo la arsenal ni midfielders na kocha mwenyewe ,middo zote wavunja kuni mnategemea kubeba EPL
NARUDIA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU.
 
Hizo ni figisu tu za board ya Arsenal zikiongozwa na Arteta mwenyewe.

Wacheza hawataki kupoteza nguvu kwa mechi zizizo na umuhimu,wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa.
Wachezaji wameamua kurudi kambini kujiandaa kuchukua ubingwa😀😀😀 .
Nyinyi Huwa mpo katika sayari ya kufikirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…