Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tangu mwanzo mwa raundi ya pili mnaonekana mna shida, hata ushindi wenu ni papatu papatu....... City angekuwa serious ungekuta anaongoza ligi, sema nae msimu huu amepoteana .......

Hio ndio pona yenu ....wapinzani wenu wote ni viande, hawana jiipya
 
Tangu mwanzo mwa raundi ya pili mnaonekana mna shida, hata ushindi wenu ni papatu papatu....... City angekuwa serious ungekuta anaongoza ligi, sema nae msimu huu amepoteana .......

Hio ndio pona yenu ....wapinzani wenu wote ni viande, hawana jiipya
Mkuu haya matokeo ya hawa Kondoo yanaenda kumuamsha kipara aanze kugawa dozi ipasavyo.
 
Mkuu haya matokeo ya hawa Kondoo yanaenda kumuamsha kipara aanze kugawa dozi ipasavyo.
Sioni kipara akiwasha moto masta.... watu walishamsomea, ukikamata haaland kwisha habari ! Sio enzi za kina sergio, toure, silva, mahrez ,kdb goli linatoka angle yoyote yani ! Sasa hivi kuna kina doku, sijui savinho, marmoush wanaruka ruka tu
 
Sioni kipara akiwasha moto masta.... watu walishamsomea, ukikamata haaland kwisha habari ! Sio enzi za kina sergio, toure, silva, mahrez ,kdb goli linatoka angle yoyote yani ! Sasa hivi kuna kina doku, sijui savinho, marmoush wanaruka ruka tu
Game imeisha?
 
Chizi hata aende mbali vipi lazma atarudi na makopo
IMG_9823.jpeg
 
Back
Top Bottom