Msioipenda Arsenal shangilien vile mnavyojua lakini EPL tunabeba na city pale kwake hatufungi.
Tunzeni hii risiti.
City kwasasa hana uwezo wakutufunga mara 2 mfululizo.
Litakufa jitu pale Etihad.
Kaifunga timu isiyo na Eze + Raya tutafunga mdundo unaomfaa pale kwake.
Arteta aache tu ufala wake wakujaribu mambo kwenye mechi serious.
All in all jana tumekosa nafasi nyingi za wazi na Gyokeres alistahili kutoka abaki Kai pale mbele akae Tros aingie Martinel kushoto kule.Pangenoga.
Lakin kwa ujinga wake anampeleka Saka kati yaani mara 100 angemuingiza Dowman nikajua kaamua tu kujaribu mambo kwa ufasaha.