Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwani kombe la carabao si mmekosa wenyewe sasa nani anawa chukia?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hata kama mtabeba EPL dakika za lala salama, na presha juu maana sio kwa tabu mnazopata kenge nyie
 
Au sio, pindisheni tu maneno ila NDOO tunabeba safari hii

Uefa huko ni 50/50

FA lolote linaweza kutokea
Nasema hivii nyie mkitoka hata na kikombe cha kahawa niitwe jibwa koko.

Bodo kimahesabu mna asilimia 95% yakutoka bila kombe lolote msimu huu. Uefa0%, FA3% , EPL2%

#Ishi nayo
 
Bado tutarudi hapo hapo Wembley kwenye fainali ya FA dhidi ya hao City and we shall proof them wrong.

We will be there.
 
Kwa miaka mitatu sasa sijapewa jibu la swali langu.
Je usajili wa Declan Rice ni asset au Liability Je ???
Ni Asset, yeye na wenzake wameiwezesha Arsenal kushika nafasi 2 Epl mara 2 mtawalia na mwaka huu Wanapoenda kuchukua Ubingwa Epl na kucheza fainali UEFA ndo utakuwa uthibitisho kamili kwamba Hela Yao Arsenal imerudi...
Sasa, swali Hilo Hilo, jiulize,sisi Liverpool Kwa Florian "Virtz" na Alexander Isak pesa yetu itarud kweli??? Na tusipocheza UEFA msimu ujao ndo kabisa....
So tuache mihemko Kwa Arsenal kisa Kukosa Carabao, kumbuka Januari hii Guadiola alifanya tena usajili, pesa kwake sio tatizo Kwa waarabu.. ni vile tu na yeye Majeruhi kadhaa na Mbinu zake za soka zishaanza kufeli, watu walishakaa maabara.
 
Hili Wimbi la majeruhi kwenye mechi za kirafiki mnaekti ili mrudi klabuni kupambania mechi za mwisho mwisho?

Siamini, kuna michezo michafu inafanyika kuwalinda nyie mbweha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…