Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiutani utani .... spurs anashuka daraja asipokuwa makini !

Kuachana na D Levy ilikuwa makosa sana ! Wacha tuone, huyo kocha wao Tudor ni box kabisa hakuna kitu
 
Watu hata kuchop hawajataka wakawa wanamlenga tu yule kipa.

Kutesana ilikua zamu zamu. Hincapie anasumbuliwa na Semenyo wakati wings zetu hazitoi hii treatment kwa defense ya City.

Gyokeres akigewa mipira mara nyingi then tuna chance ya kumsababishia red Khusanov.

Set pieces hazijaonyesha matunda yet tunatumia mfumo huo huo. City nao wamerudia mistakes hizo hizo kwenye set pieces.

Sasa hivi tunahitaji pace na shots za nje ya box. Saka hayupo radhi kufanya hivyo.

Hope tunasemana hii half time. Tukirudi tuwe wengine.
 
FALSE HOPE FOOTBALL CLUB

MSIMU WA 2025/26

1. Carabao cup: FALSE HOPE( TAYARI HUKOOOOO)
2:EPL loading: FALSE HOPE🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE🔞

Even EPL bungo linatemwa baada ya kubanduliwa hapaaaa😀😀😀😀
 
HIi dunia nitaamini kweli soka limevamiwa kama hii mechi mtatoka salama.
Hamna time ya kwenda toe to toe na Citizen nyie Wapiga nyeto wa london.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom