Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hincapie jeshi la mtu mmoja, mara zote yeye ni mzee wa kazi chafu
bde2d97c7db7e226ffb727754a513da3.jpg
bf1180b9aace214d63fdbde78a77a267.jpg
 
Hapo game ngumu ni huyo burnley. Technically tutakua tayari champions [emoji471]

Arsenal NDOOView attachment 3558089
🤣🤣🤣 Chawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game ya mwisho na crystal palace.
 

Attachments

  • 1746865204876.jpg
    1746865204876.jpg
    116.1 KB · Views: 20
Dimba linazimwa na Rice na Zubimendi.

Kuna kitu Arteta anaona kwa Eze ambacho binafsi sioni kwa kumchezesha AM naamini jamaa anatakiwa kua mbali na attackers kuliko kua karibu nao.

White anaanza leo.

Trossard yupo mbavuni na kati anazima Gyokeres.

Formation ni 4231
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom