Muyabi colors
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 2,617
- 3,726
Arsenals bingwa
Kama hawataki wanye TikitiArsenals bingwa
🤣🤣🤣 Chawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game ya mwisho na crystal palace.Hapo game ngumu ni huyo burnley. Technically tutakua tayari champions [emoji471]
Arsenal NDOOView attachment 3558089
Sijawai kukimbia jukwaa mzee, humu tupo sana tu. Tunakua bize kidogo kama ndugu yangu Masingeli chambuz la fifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game na crystal palace.
Ngoja tuwabake kishababi, friends of chelkengeFriends of 04 tuko hapa
CP wanakuangalia Huku wanacheka 😂Bora tuje kukutana na bodo, hawa Sporting cp wana press sana