We Labyrinth 84 usimsikilize huyu.Yule bwana mdgo shabiki kindakindaki wa nyukesto nimeshamfanyia booking ndugu zangu...atakuja nyumbani kwangu kula ubwabwa tukisheherekea ubingwa....tusiingilianeš¤ š¤
Anakupepea huyu
We Labyrinth 84 usimsikilize huyu.Yule bwana mdgo shabiki kindakindaki wa nyukesto nimeshamfanyia booking ndugu zangu...atakuja nyumbani kwangu kula ubwabwa tukisheherekea ubingwa....tusiingilianeš¤ š¤
Leo lazima tunshikishe adabu ile draw ya 1-1 kwao ni kama ametangaza vitaNdani ya UEFA leo wanetu![]()
Before Arsenal signed Piero HincapiĆ©, Mikel Arteta made one call to Xabi Alonsoā¦
Mikel Arteta: āWhen I spoke to Xabi just before we were going to sign him, I said if you have to describe HincapiĆ© in one word, what would you use, and he said, āHeās a warrior.ā He will play through brick walls for you and heās one of the most competitive players that I have had.Kama hawataki wanye TikitiArsenals bingwa
š¤£š¤£š¤£ Chawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game ya mwisho na crystal palace.Hapo game ngumu ni huyo burnley. Technically tutakua tayari champions
Arsenal NDOOView attachment 3558089
Sijawai kukimbia jukwaa mzee, humu tupo sana tu. Tunakua bize kidogo kama ndugu yangu Masingeli chambuz la fifaChawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game na crystal palace.
Ngoja tuwabake kishababi, friends of chelkengeFriends of 04 tuko hapa
CP wanakuangalia Huku wanacheka šBora tuje kukutana na bodo, hawa Sporting cp wana press sana