mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,678
- 19,490
Leo lazima tunshikishe adabu ile draw ya 1-1 kwao ni kama ametangaza vitaNdani ya UEFA leo wanetu![]()
Leo lazima tunshikishe adabu ile draw ya 1-1 kwao ni kama ametangaza vitaNdani ya UEFA leo wanetu![]()
Before Arsenal signed Piero Hincapié, Mikel Arteta made one call to Xabi Alonso…
Mikel Arteta: “When I spoke to Xabi just before we were going to sign him, I said if you have to describe Hincapié in one word, what would you use, and he said, ‘He’s a warrior.’ He will play through brick walls for you and he’s one of the most competitive players that I have had.Kama hawataki wanye TikitiArsenals bingwa
🤣🤣🤣 Chawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game ya mwisho na crystal palace.Hapo game ngumu ni huyo burnley. Technically tutakua tayari champions
Arsenal NDOOView attachment 3558089
Sijawai kukimbia jukwaa mzee, humu tupo sana tu. Tunakua bize kidogo kama ndugu yangu Masingeli chambuz la fifaChawa naona umefufuka baada ya kuona kuna matumaini hewa ya kua mabingwa, ila nakuhakikishia hautaamini macho yako baada ya game na crystal palace.
Ngoja tuwabake kishababi, friends of chelkengeFriends of 04 tuko hapa
CP wanakuangalia Huku wanacheka 😂Bora tuje kukutana na bodo, hawa Sporting cp wana press sana