Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dowmnan amehusika kwenye both goals, thanks kwenye dakika za jion mentality. Inawezekana downman akawa good good kwenye izo moment kama trossard. Hatujui akianzidhwa atakuwaje
 
Dua zenu mancity dk ya 92, 1-1 huko.
Walivyopata goli nikalala.

Kwanza goli lilikua limekaa kipro vibaya nikasema hapa itakuja mvua. Westham walikua dominated vibaya mno.

Nikalala.

Naamka nacheki fotmob naona kwamba City alisawazishwa dakika ya 35 na show ikaishia hapo.

Mentality monsters wakashikwa shati tena. Usajili wa January haujawasaidia
 
Wiki kadhaa nyuma gap lilivyokua 2 kila kiazi kikajifanya expert na watoa laana wakajaa humu.

Nikaonya kwamba hiyo siyo mara ya kwanza kwa City kufikia gap hilo.

Fast forward to today. Gap sasa hivi ni points 9. Mentality monsters wapo hoi.

Timu inayosemwa kwamba inategemea set pieces ina magoli 61, ni magoli mengi kuliko timu yoyote EPL huku ikiwa imefungwa magoli machache kuliko timu yoyote EPL.
 
Kichekesho ni nini?

Juzi Pep kashinda tuzo ya kocha bora wa mwezi. Tuzo ambayo msimu huu imekua ikitaniwa kua atayeipata anakumbana na laana ya kupoteza mechi.

Naona kwa Pep imeanza kufanya kazi mapema
 
Back
Top Bottom