Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Saka na eze na Victor G, martineli, trossad, Jesus, kai mnawategemea wawape UEFA sio basi sawa.... offcourse second leg iko open.... mnaweza kuwatoa wale jamaa, japo sio kirahisi hivo..... Je huko mbele ? Hamna forward mnashinda kwa miujiza tu .... forward line yote kule imeoza .... hamna AM mzuri, mwenye jicho kali, progressive passess n.k ! Hata huyo Goyk ukimpa pasi hajui kufunga !

Mtafilimbwa bila ganzi
 
leverkusen vs arsenal ndio game pekee kwa jana niliyoona tactical discipline ya hali ya juu zaidi kwa timu zote mbili ,ni mifumo zaidi iliyokuwa inacheza.

game ya marudiano itakuwa close endapo makocha wote watarudi vile vile.

na kuhusu saka kwa ile performance yake ya jana ,mi naona ile armband inampa presha kubwa na kutaka kufanya vitu vingi bila maarifa mazuri wkt mwingine.. ni kheri now ikavaliwa na GM 6 tu ama declan.
 
Wakuu, ubingwa ni wenu, hakuna wa kubisha.
Uefa na EPL watahakikisha hilo

 
Leo tena litapigwa Haram ball Pro Max Ultra

Haters mnakaribishwa
20260314_133605.jpg
 
Martinelli, Gyokeres na Hincapie leo wapo benchi.

Madueke kawekwa LW.

Kai kawekwa ST.

Set up ipo kwenye kudominate zaidi.

Let's see
 
Everton wapo willing kushoot

Arsenal tries. But you can see hesitation.

And it kills us
 
Back
Top Bottom