Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo, Arsenal hawakupata set pieces? Au bado wanazisaka tu?
Leverkusen 1 – 0 Arsenal.
Mmeshapewa set pieces. Ina maana Arsenal haiwezi shinda bila set pieces
Leverkusen 1 - 1 Arsenal 90+3mins
 
Hamieni sasa TNT Sports 2, discovery+ jijini Paris mfuatilie kandanda safi, modern football
PSG vs Chelsea saa tano kamili usiku huu
 
Sio mbaya, uefa wameona msidhalilike.

Anyway, msitoke kwenye tv zenu mana ule wakati wa wanaume kucheza umekaribia.

Karibuni mtazame mchezo wa bingwa wa dunia dhidi ya kibonde wake
 
Hamieni sasa TNT Sports 2, discovery+ jijini Paris mfuatilie kandanda safi, modern football
PSG vs Chelsea saa tano kamili usiku huu
Nitakuja kwenye Uzi wenu kusoma insha zako kuhusiana na kipigo kitakatifu kutoka kwa PSG😂
 
World Champions my foot😏
1773267084031.jpg
 
Back
Top Bottom