Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,772
- 103,609
Aongezewe pressure Ili apewe red, so mmefikia Hii stage kama mlivyofikia stage ya kukaba Wachezaji wa Chelsea 😂Tayari kuna CB ana yellow tangu dakika ya 4 kwanini haongezewi pressure?
Aongezewe pressure Ili apewe red, so mmefikia Hii stage kama mlivyofikia stage ya kukaba Wachezaji wa Chelsea 😂Tayari kuna CB ana yellow tangu dakika ya 4 kwanini haongezewi pressure?
Karma 😂Tayari kuna CB ana yellow tangu dakika ya 4 kwanini haongezewi pressure?
Mna ngoma yenu inaanza soon. Tulia hapa hapaNaona uefa wanashirikiana na EPL kuhakikisha Arsenyembo anapata chcht kitu msimu huu 😂
Baada ya goli kurudi na nyie ndo mmefufuka 😂Mna ngoma yenu inaanza soon. Tulia hapa hapa