Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tumempiga Madrid, Inter, Bayern, PSG, Atletico anatokea mtu anakuambia hii timu haichezi mpira.

Lia ukimaliza sema

Safi man city amalizane na mtabe mwenzie.
Alafu na wewe ukutane Kwa mara5 Tena na Chelsea Nusu fainali ndani msimu mmoja, Wembley hapo, hakuna Cha Emirate Wala Darajani, Neutral Ground, na kwenye UEFA vilevile Chelsea akikaza na nyinyi pia, mnaweza mkakutana fainali, hivyo hivyo Kwa Man city na Liverpool mnaweza kutana nao Fainali UEFA au FA cup fainali.
 
Alafu na wewe ukutane Kwa mara5 Tena na Chelsea Nusu fainali ndani msimu mmoja, Wembley hapo, hakuna Cha Emirate Wala Darajani, Neutral Ground, na kwenye UEFA vilevile Chelsea akikaza na nyinyi pia, mnaweza mkakutana fainali, hivyo hivyo Kwa Man city na Liverpool mnaweza kutana nao Fainali UEFA au FA cup fainali.
Hao Chelkenge Mbaga Jr washageuka wagawa utamu, hao city ni Mourinho wazee wa bus piga kelele tusikie kingine
 
Leo hapo dhidi ya Bayer Leverkusen.

Leverkusen wameanza kupost banter online kabla ya mechi at least inabidi sasa tukomae kuangalia jinsi gani tunaweza kusmash hii timu
 
Tunaendelea na 4 2 3 1, kikosi kina ingizo jipya la Saliba. Wengine wapo vilevile. Salmon na Dowman wapo benchi wanaanza kua regulars kwenye safari za first 11

I hope watapata namba kama siyo leo basi next time.

Hatuna rekodi mbaya dhidi ya Leverkusen so natarajia upinzani ila siyo wa kutunyima confidence.

Here we go
 
Leo hapo dhidi ya Bayer Leverkusen.

Leverkusen wameanza kupost banter online kabla ya mechi at least inabidi sasa tukomae kuangalia jinsi gani tunaweza kusmash hii timu
Umeona ile post ya leverkusen, arteta akiwa ameshika balbu? 😂
 
Tayari kuna CB ana yellow tangu dakika ya 4 kwanini haongezewi pressure?
 
Back
Top Bottom