Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,812
- 75,458
Msimu wa 22/23 tukiwa tumebakisha mechi 9 nafikiri na huku tumemuacha City points 7 ama 8 hivi kuna games tukapoteza zingine tukasuluhu.
Tulisuluhu 2 - 2 na Liverpool, tulisuluhu 2 - 2 na Westham halafu miongoni mwa waliotufunga ni Brighton. Walitupiga 3 - 0, City wakatunyoosha 4 - 1.
Sasa unadhani hapa focus ni entertaining football? Ni kuhakikisha points tatu zinakua secured hayo mengine ni yenu
Tulisuluhu 2 - 2 na Liverpool, tulisuluhu 2 - 2 na Westham halafu miongoni mwa waliotufunga ni Brighton. Walitupiga 3 - 0, City wakatunyoosha 4 - 1.
Sasa unadhani hapa focus ni entertaining football? Ni kuhakikisha points tatu zinakua secured hayo mengine ni yenu