Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu wa 22/23 tukiwa tumebakisha mechi 9 nafikiri na huku tumemuacha City points 7 ama 8 hivi kuna games tukapoteza zingine tukasuluhu.

Tulisuluhu 2 - 2 na Liverpool, tulisuluhu 2 - 2 na Westham halafu miongoni mwa waliotufunga ni Brighton. Walitupiga 3 - 0, City wakatunyoosha 4 - 1.

Sasa unadhani hapa focus ni entertaining football? Ni kuhakikisha points tatu zinakua secured hayo mengine ni yenu
 
Data Data Data.

Kila muda wanapotaka kutupaka matope, basi data huwa zinakuja kuwaumbua wenyewe baadae.

Last year, wakati IFAB wana-introduce ile sheria ya refa kuwapa timu pinzani kona kams kipa ata-hold mpira more than eight seconds, sky sports and co wakatumia picha ya Raya kwenye mitandao kutaka kulionyesha hili.

Opta walivyokuja na data, Raya was not even on top five katika makipa wanaokaa na mipira sana

Data zikawaumbua.
 
Wiki hizi mbili tatu, wamekuja na hii, kwamba Arsenal inatumia muda mwingi kuanzisha tena ball.

Tukija kwenye data sasa

20260307_035050.jpg
20260307_035107.jpg
20260307_035053.jpg
 
Dogo Salmon leo kala experience ndefu. Back 3 halafu akawa starter anaonekana ni ball playing defender mzuri na ana composure.

Dowman ilikua sahihi dakika ziwe managed, ametoka kwenye majeraha. Sasa leo tunaingia robo fainali kwa mara ya kwanza tangu miaka 6 ipite.

Hivyo basi

UEFA - Tupo round of 16
EPL - Tunaongoza ligi
Carabao - Tupo fainali
FA - Tupo robo fainali
 
Back
Top Bottom