Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Murillo is invited to our title parade
Screenshot_20260305_132818_TikTok.jpg
 
Tumempiga Madrid, Inter, Bayern, PSG, Atletico anatokea mtu anakuambia hii timu haichezi mpira.

Lia ukimaliza sema
 
Msimu wa 22/23 tukiwa tumebakisha mechi 9 nafikiri na huku tumemuacha City points 7 ama 8 hivi kuna games tukapoteza zingine tukasuluhu.

Tulisuluhu 2 - 2 na Liverpool, tulisuluhu 2 - 2 na Westham halafu miongoni mwa waliotufunga ni Brighton. Walitupiga 3 - 0, City wakatunyoosha 4 - 1.

Sasa unadhani hapa focus ni entertaining football? Ni kuhakikisha points tatu zinakua secured hayo mengine ni yenu
 
Data Data Data.

Kila muda wanapotaka kutupaka matope, basi data huwa zinakuja kuwaumbua wenyewe baadae.

Last year, wakati IFAB wana-introduce ile sheria ya refa kuwapa timu pinzani kona kams kipa ata-hold mpira more than eight seconds, sky sports and co wakatumia picha ya Raya kwenye mitandao kutaka kulionyesha hili.

Opta walivyokuja na data, Raya was not even on top five katika makipa wanaokaa na mipira sana

Data zikawaumbua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom