Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mzee kiparra Babu wa Mbaga Jr, Flano, IamMrLiverpool ana lialia vijana wakaze, zibaki point 2 😂😂
FB_IMG_17726598683952314.jpg
 
Westham vs City mechi ngumu kwa City maana Westham anataka kujinasua toka danger zone na leo kashinda na amaelingana na Notingham Forest
Kwa sasa EPL hakuna mechi rahisi kabisa. Usipokaza hadi Wolves anakuchapa, kila mtu anapambana ama asishuke daraja au aende michuano ya kimataifa.

Kwa sasa muhimu ni kushinda tu, Mpira mzuri tulishacheza sana huko nyuma mpaka tukawa tunachekwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom