Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,954
- 95,353
Vijana watulie
Wakandwe tu😅Dua zenu city kasawazishiwa
Liverpool kakandwa jana, nyumbu ana lia lia wakati Newcastle ana red card huko.Wakandwe tu😅
Tutakuja hapa siku nyngnMzee kiparra Babu wa Mbaga Jr, Flano, IamMrLiverpool ana lialia vijana wakaze, zibaki point 2 😂😂
View attachment 3552606
Nataka ubingwa tukauchukue pale pale Etihad kwa baba lao wanayemsifu.Nikawa nasema yule mwizi tunampa energy ili tuendelee kumtesa. Mwizi alivyofurukuta kidogo wakaja kuniuliza wakidhani nabahatisha.
Sasa angalieni balaa kubababake
Arteta azingatie squad rotation, kwa zubi ampe nafasi norgad.Alama za Brighton tumezipata kwa mbinde Sana.
Hii mechi ilikuwa inanipa stress bora tumeondoka na ushindi hata kama tumecheza hovyo.
Ubingwa nauona pale
Na badoHivi siku fifa wakisema wanaondoa corner kicks nyie kenge mtakimbilia wapi.