secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,263
- 28,411
Unateseka ukiwa wapi jamaa😅Tia maji tia maji.. mnashinda lakini hamna furaha!
Tupo na nyie mpaka mwisho wa msimu Pep ananyanyua kwapa !
Kwamba Arsenal pekee ndo ina magoli ya corner ama?Hivi siku fifa wakisema wanaondoa corner kicks nyie kenge mtakimbilia wapi.
Raya anaeza kuokoa mahusiano na ndoa zinazoelekea kuvunjika
Kocha wa Brighton ameshaanza kupiga kelele kwamba tunapoteza muda kwenye konaRaya saved us so much especially dakika za mwisho.
Kituo kinachofuata ni Brighton
Keshaanza kupiga kelele mapema kwa sababu anajua kitakachomkuta keshoKocha wa Brighton ameshaanza kupiga kelele kwamba tunapoteza muda kwenye kona
Sisi tulitoa sare na Wolves tukapigiwa kelele nyingi sana.Liver kafa jana ila hamna anayeshinda uzi wa Liverpool kujifanya analeta takwimu
Wapili kufunga magoli mengi ya set pieces ni Liverpunga.🚨Did You Know?
A total of 138 corner goals have been scored in the 2025/26 Premier League season so far.
Looking at it, you’d think Arsenal F.C. have scored 100 of them and left the remaining 38 for the other 19 teams 🤣.
But in reality, Arsenal have scored just 16 out of the 138.
IamMrLiverpool
🤣🤣🤣 Msimu ulioisha liverpool kabeba Epl hio nguvu ya kumpigia kelele unaitoa wapi?Sisi tulitoa sare na Wolves tukapigiwa kelele nyingi sana.
Jana Liverpool kadondosha points zote 3 ila watu wamekausha tu
Levels bro.
Wambie waondoe mbinu ziko nyingi sana hiyo ya Corner ni Mbinu A na zipo mpaka ZHivi siku fifa wakisema wanaondoa corner kicks nyie kenge mtakimbilia wapi.
We will be there🤣🤣🤣 Msimu ulioisha liverpool kabeba Epl hio nguvu ya kumpigia kelele unaitoa wapi?
Arsenyau tunawasimanga kwa kua nyinyi kila msimu mmekua ni wasindikizaji.