Bazenga01
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 964
- 1,689
Mmekunywa mo energy, mmepata nguvu sasaKenge zimekimbia
Mmekunywa mo energy, mmepata nguvu sasaKenge zimekimbia
Lakini hao Spurs pamoja na ubovu wao ujue waliokota point 4 kwa City ambaye ndo mpinzani wetu wa karibuSpurs alikua mpinzani mwepesi wamecheza ovyo,walikua Unga kwenye eneo la ulinzi wa defend ovyo sioni kama ilikua kipimo kwetu ila muhimu tuu mentality ya ushindi imerejea tena.
Kipimo chetu pale tutakapo kukutana na timu zinazokaba low block na zinazotumia nguvu ili tuone eneo letu la kiungo kwenye ubunifu kwenye final third limebadilika.
Game yakutupatia ubingwa ni sisi vs Man city.
Hii game hatupaswi kufungwa hata kama refa na Var watakuwa upande wao.
🤣🤣🤣 Masingeli nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Arsenyau.CF wa €90m unashangilia kabisa kufika goli 6?
Upo timamu?
Mimi sina cha kusema. Wote tuangalieSababu mfu hii kiongozi.
Usiitumie tutachekwa na wapinzani.
Ni vema ungeifuta hii aibu uliyoandika ndugu yangu katika Arsenal.
Tatizo city anajua kumalizia mbio ndefumay be ila game 3 zijazo za ligi za city zitakuwa ngumu zaidi ,mahitaji ya alama kwa kila timu atazokutana nazo ni makubwa mno.
🤣🤣🤣 Mzee wa energy unakosaje cha kusema wakati cha kusema unacho?Mimi sina cha kusema. Wote tuangalie
Wewe jamaa ni fala sana🤣🤣🤣🤣 Masingeli nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Arsenyau.
Midhali Masingeli tayari umeshatia timu humu, basi uhakika Arsenyau habebi kitu msimu huu.
Broo tunaomba utuchambulie tena zile mambo za Overlapping, Inverted midfild na overloading.
Ngoja na mimi nianze kuachia risiti zako moja moja, maana maktaba yangu imejaa risiti zako za miaka 3 nyuma ulivyokua unaendeleza false hopes zako kwenye hili jukwaa.
Tafuta shabiki wa Newcastle au mid table wengine mgeane moyo. Sawa bwana Mkude?🤣🤣🤣 Mzee wa energy unakosaje cha kusema wakati cha kusema unacho?
Mara hii mtateseka sana na hizi ngojera zenuBado mwizi anapewa energy drink wanetu ?
Nasema hivi ? Hizi games chache zilizobaki mtatema bungo......
Mnategemea mmakonde saka awape ubingwa? Eze mla milenda ? Rice Asojua hata kupiga pasi ? Mmepuyanga !
Uzuri Raya ameshuka kiwango ... tupo na tutakuwepo mpaka dkk za mwisho