Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,768
- 103,589
Imeisha hiyo.Hata Droo sio mbaya halafu City wanakuja kushinda kwa chelsea na Arsenal, hesabu halidanganyi hahahaha........
Ila leo ushindi kweupe kwa Chelsea
Imeisha hiyo.Hata Droo sio mbaya halafu City wanakuja kushinda kwa chelsea na Arsenal, hesabu halidanganyi hahahaha........
Nilichokiandika umekielewa??? au wewe ni wale mpk tuition ndio muelewe.Moto unapigwa nje ndani na kugeuzwa kama samaki pande zote mbili?
Plastic fan hivi unaweza ukaandika kitu ukaeleweka kweli?Nilichokiandika umekielewa??? au wewe ni wale mpk tuition ndio muelewe.
Kama ambavyo atakavyokufa ArsenyemboEh mapema tu nyumbu kafa
Umeandika pumba tupu tu.Arsenyembo wengi hawajui kuhusu mechi ya Chelsea VS arsenal hasa mechi za maamuzi.
29 may 2019 Baku Kwenye fainali ya europa, Chelsea tukishinda kwa sababu kombe lilikuwa mbele yetu.
Baada ya hapo mkawa mnatufunga kwa sababu hakuna lolote la kutufunya tushinde dhidi yenu, hili hata nyie n mashahidi mmetufunga sana ila je mlipata nini? 😂
Chelsea anapofika kwenye mechi za maamuzi anabadilika sana, refer fainali zote alizocheza Chelsea
Sasa Leo Chelsea tunakwenda kushinda kwa bao nyingi kwa Sababu point zetu zitawafanya mshuke chini baada ya Man City kushinda game lake la 29 sawa na nyie.
Sawa Mbege JuniorKama ambavyo atakavyokufa Arsenyembo
🤲🤲Mungu Ibariki Chelsea. Chelkenge hatima ya furaha ya dunia leo ipo mikononi mwenu.
🤲🤲Mungu Ibariki Chelsea. Chelkenge hatima ya furaha ya dunia leo ipo mikononi mwenu.
Piga hawa kenge mavumbi, arsenal ni 🔥Arsenyembo 0 : 2 Chelsea
Mungu ambariki havertz na gyokeres leoMungu ibariki Chelsea ishinde leo
HeheheKikosi chetu hakijabadilika.
Ni kilekile kilichocheza na Spurs.
Eze bado ni AM.
Hincapie bado ni LB.
Hatujafunga magoli ya kona muda mkubwa umepita nafikiri leo ni siku sahihi kuanza tena.