Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

The journey looks amazing
FB_IMG_17722105549581641.jpg
 
Hii draw ya UCL n sawa na UCL dhidi ya europa league, Arsenyembo mpo europa league
 
Nyie Nux Fc, nawakumbusha tena kimahesabu mna % kubwa za kutoka mikono mitupu msimu huu.
 
JE WAJUA??: Mikel Arteta na Arsenal yake pamoja na Kuongoza Ligi Epl Msimu huu 2025/26 Kwa Kukaa kileleni muda mrefu, yeye kama kocha au mchezaji wake wowote hawajachukua tunzo za Monthly Awards ya Kocha Bora Mwezi au Mchezaji Bora wa mwezi, zaidi zaidi tu, Zubimendi alichukua tunzo ya goli Bora la mwezi na Raya-save Bora ya mwezi baas..
Hii pia haitofautiani sana Kwa wapinzani wao wa karibu Mancity, Guadiola nae kama kocha hajachukua tuzo kocha Bora Mwezi mpaka sasa lbd tu Haaland alishinda mara1 tuzo mchezaji Bora wa mwezi, ila yeye pep na Mancity yake, Kuna matumaini anaweza kuchukua tuzo ya Kocha Bora mwezi February hii iliyoishia sababu alishinda karibia mechi4 hadi5 mfululizo ikiwemo jana ya Leeds, tofauti na arsenal,Chelsea,man Utd, Aston villa, Bournemouth,wolves, Sunderland nk wengine hapo walipoteza mechi wengine wdlidroo mfululizo mwezi feb. Km Arsenal...
Yan Arteta na guadiola tuzo za kocha Bora msimu huu wamezidiwa ht na makocha wapya na waliofukuzwa km Carrick, Maresca nk, sasa sijui hii inatoa ishara Gani au italeta mapinduzi na rekodi mpya kwamba bingwa Epl bila kocha wao au mchezaji kutwaa tunzo yoyote ya mwezi sio kawaida karibu misimu6 sasa ya Ligi Uingereza.
 
Izo point 60 zitakatwa mwezi ujao
Chukueni ubingwa kwanza Arsenal Kwa kuvuja jasho,akili na damu sio kusubiri ubingwa wa mezani au wa mahakamani km hivyo, ubingwa wa jasho una Raha yake... Hayo yakukatwa pointi waachie wenyewe
 
Chelsea aka vibonde vyetu.

By this time Liam ameshajua kwamba style yake ya kutaka kushambulia haiwezi kumsaidia dhidi ya Arsenal.

I get a feeling atarely kwenye counter kwa leo kama wapinzani wengine wanavyofanya. Kama ingekua ni maamuzi yangu leo mpira wa kucheza na Chelsea ni ule dhidi ya Brighton wakati wapo moto na ule City aliliwa 5.

Susia possession mpinzani focus na kuscore. Counter and nonstop long balls.

Sioni mashabiki wa Chelsea wakijitapa. And this is bad, coz mtu akiwa hajitapi means yupo focused round hii tofauti na mwanzo walivyokua wanapiga kelele kila siku.
 
Arsenyembo wengi hawajui kuhusu mechi ya Chelsea VS arsenal hasa mechi za maamuzi.

29 may 2019 Baku Kwenye fainali ya europa, Chelsea tukishinda kwa sababu kombe lilikuwa mbele yetu.

Baada ya hapo mkawa mnatufunga kwa sababu hakuna lolote la kutufunya tushinde dhidi yenu, hili hata nyie n mashahidi mmetufunga sana ila je mlipata nini? 😂

Chelsea anapofika kwenye mechi za maamuzi anabadilika sana, refer fainali zote alizocheza Chelsea

Sasa Leo Chelsea tunakwenda kushinda kwa bao nyingi kwa Sababu point zetu zitawafanya mshuke chini baada ya Man City kushinda game lake la 29 sawa na nyie.
 
Mechi zilizopita tulishindwa kuwafunga kwa sababu Nyie sio mabingwa wa kombe lolote tofauti na Napoli, Barcelona, Liverpool na mkubwa wao wa Ulaya PSG tulivyowafanyia 😂

Tafuteni makombe Ili Chelsea tujivunie kuwafunga.
 
Si mliona moto tuliowapelekea? safari hii si hamtapaki basi mtafunguka kutaka ushindi.

Sio kwa ubaya nawakumbusha tu, kimahesabu msimu huu mnatoka patupu.
Moto unapigwa nje ndani na kugeuzwa kama samaki pande zote mbili?
 
Back
Top Bottom