Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na Saka kaongeza mkataba miaka5 na mshahara mnono Kuliko wachezaji wote ndani Arsenal na huenda kuwa ht top5 ya top earners kny Epl, Haaland na Salah ndo wanaongoza saivi.
Lakini hizo takwimu zake za msimu huu za Epl Mmmh!! hata kama tutasingizia Majeruhi, yaani goli 5 assist 3, ngoja tuone baada mechi hii Wolves kwenda March, April mpk mwisho msimu May ataleta mchango Gani na consistency au lah!! Maana Saka alikaa zaidi mechi 10 Epl hajafunga goli mpk kuja kufunga dhidi Wolves J5 hapo.
Saka ni mzuri sana sema huu msimu amesumbuliwa Sana na majeraha.
Same to Martin Ødegaard
 
"Tatizo si Arteta, si wamiliki, si wachezaji, ni mashabiki wa Arsenal. Mnadanganyika."
- Patrice Evra

View attachment 3546796
Huyu mjinga baada ya kustaafu soka amekuwa irrelevant kwenye ulimwengu wa soka that's why ameamua kuongea pumba zake ili aonekane relevant.

Jinga kbsa and he honestly deserved what Luis Suarez did to him😏
 
Mie huyu saka na martinelli nishawqkqtqq toka msimu uke wana moto.. ukweli mchungu ni average players, saka ni wa everton huko, spurs kidogo, Aston villa na wenginewe..
Unapotaka makombe unahitaji wachezaji bira wengi.. ni raya, timber, saliba, gabriel, kidoogo na rice(huyu naweza safiri nae) waliobaki kwa kweli ni ngumu kusafiri nao
Saka sio mbaya kihivyo mkuu ni vile huu msimu amesumbuliwa Sana na majeraha ndo maana viwango vyake vimeshuka
Same na Martin Ødegaard
 
Ile Sare dhidi ya Wolves ilisababisha kelele nyingi sana mitaani na mitandaoni kutoka kwa mahaters.

Arteta afanye tu kila awezalo angalau atupumzishe na hizi kelele
 
Saka sio mbaya kihivyo mkuu ni vile huu msimu amesumbuliwa Sana na majeraha ndo maana viwango vyake vimeshuka
Same na Martin Ødegaard
Sijasema saka mbaya, ila nimesema ni wa kawaida tu nikajiuliza saka vs lamine vs rodrygo, vs luis diaz vs vini... utaona saka humo mote hafui dafu.
Odegaard nae ni yale yale, mbaya zaidi kuna namna kama karidhika.. sehemu za kuachia mali wakati mwingine haachii.

Arsenal ni raya, timber, saliba, gabriel.. hawa popote wanacheza, ongeza na declan rice(mapafu ya mbwa) imeisha hiyo..
Kwa mbaaali eze
Kwa mbaaaaali tena g jesus
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom