Huwezi kuyaonaYale mapimbi yako wapi hapa?
Huwezi kuyaonaYale mapimbi yako wapi hapa?
wanaume waki fanya Yao, vilio vya kina mama lazima visikike.Bomu limepigwa mortuary
Hivi ndiyo vitu natakiwa kuangalia kwenye hii tv siyo vitu vya kimiyeyusho

🤣🤣🤣 Kilichofanyika leo ni Arsenyau kapewa Energy drink anywe apate nguvu kidogo ili wiki ijayo Chelkenge amfumue vizuri.Bomu limepigwa mortuary
Flano utakubali tu🤣🤣🤣 Kilichofanyika leo ni Arsenyau kapewa Energy drink anywe apate nguvu kidogo ili wiki ijayo Chelkenge amfumue vizuri.
Wafungeni tu hawa mafala (aseno). Mi nimeshawachoka.Chelkenge tutalipiza kisasi kwa niaba ya wote walionyanyaswa na Arsenyembo
Kwenye kundi la waliofungwa na Arsenal nyinyi mapimbi si ndiyo mnaongoza kwa kunyooshwa? Halafu ndiyo utetee wenzako? ThubutuChelkenge tutalipiza kisasi kwa niaba ya wote walionyanyaswa na Arsenyembo
This time sio kinyongeKwenye kundi la waliofungwa na Arsenal nyinyi mapimbi si ndiyo mnaongoza kwa kunyooshwa? Halafu ndiyo utetee wenzako? Thubutu
Saka ni mzuri sana sema huu msimu amesumbuliwa Sana na majeraha.Na Saka kaongeza mkataba miaka5 na mshahara mnono Kuliko wachezaji wote ndani Arsenal na huenda kuwa ht top5 ya top earners kny Epl, Haaland na Salah ndo wanaongoza saivi.
Lakini hizo takwimu zake za msimu huu za Epl Mmmh!! hata kama tutasingizia Majeruhi, yaani goli 5 assist 3, ngoja tuone baada mechi hii Wolves kwenda March, April mpk mwisho msimu May ataleta mchango Gani na consistency au lah!! Maana Saka alikaa zaidi mechi 10 Epl hajafunga goli mpk kuja kufunga dhidi Wolves J5 hapo.
Huyu mjinga baada ya kustaafu soka amekuwa irrelevant kwenye ulimwengu wa soka that's why ameamua kuongea pumba zake ili aonekane relevant."Tatizo si Arteta, si wamiliki, si wachezaji, ni mashabiki wa Arsenal. Mnadanganyika."
- Patrice Evra
View attachment 3546796
Saka sio mbaya kihivyo mkuu ni vile huu msimu amesumbuliwa Sana na majeraha ndo maana viwango vyake vimeshukaMie huyu saka na martinelli nishawqkqtqq toka msimu uke wana moto.. ukweli mchungu ni average players, saka ni wa everton huko, spurs kidogo, Aston villa na wenginewe..
Unapotaka makombe unahitaji wachezaji bira wengi.. ni raya, timber, saliba, gabriel, kidoogo na rice(huyu naweza safiri nae) waliobaki kwa kweli ni ngumu kusafiri nao
Jumapili ijayo litawakuta jambo zito Sana pale Emirates wewe endelea tu kubwabwajaHalafu wabadilishe jina rasmi waitwe Runnerup FC
A delusional Manchester United fan as usual 😅🤣🤣🤣 Yule Vasco Dagama ndio alitutoa kwenye mbio za ubingwa, laiti Carrick angepewa timu mzunguko wa pili tu ulivyoanza sasa hivi Manjesta tungekua ndio tunaongoza ligi.
Na bado haujasema, yaani mpaka useme😅Hii timu jamani ndio Timu za EPL zinataka kuiachia ibebe ubingwa mwaka huu. Stop this nonsense. PEP do something
View attachment 3547352
Walau makombe mawili kati ya manne, moja liwe EPL na lingine lolote tu!!Natamani Sana kuendelea kuviona Arsenal ya Jana kwenye mechi kumi zilizobaki.
The title is ours to loose