Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal huu msimu Epl lazima tubebe
Labda mbebe mimba.

20260213_185829.jpg
 
Arteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukue😄😄
Ni kweli mkuu kwa sasa kuna uhaba sana wa makocha wazuri. Arteta hadi sasa kwa ligi alipoanzia sio mbaya ni mzuri
 
Leo saa Tano kamili usiku, saa za Afrika Mashariki, we go again vs Wolves.
 
Back
Top Bottom