Ni kweli mkuu kwa sasa kuna uhaba sana wa makocha wazuri. Arteta hadi sasa kwa ligi alipoanzia sio mbaya ni mzuriArteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukue😄😄
Arteta bonge moja la kocha.Ni kweli mkuu kwa sasa kuna uhaba sana wa makocha wazuri. Arteta hadi sasa kwa ligi alipoanzia sio mbaya ni mzuri
Spurs wakubali wakatae hizo alama 3 lazima tutazichukuaKama kawaida kocha mpya hua anaanza vzr, Sasa tunamtakia kheri spurs 😂
Hii mechi lazima tupate ushindi ili kuboost confidence yetu kwenye mechi zijazoWanangu na leo tena
Tupo uwanjani FA dhidi ya Wigan
Who cares nigga
Source ya habari: "amini nakwambia, Mourinho amesema hivi"
Hili na mimi huwa silielewagi kabisa.Nimekuta watu wanashangaa tena performance ya Norgaard
Hii wiki tuwe tunaachana na soka kwa muda.Napita online nakuta timu nyingi zinasifia LGBTQ
Kazi tunayo