Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haijarogwa mkuu ila haina mentality ya ubingwa/ kushindana we angalia tu Arsenal tunashinda hasa timu tunayocheza nayo ikikubali ila ikishindana game inakuwaga ngumu sababu ya aina ya wachezaji tulio nao na mfumo wa kocha wa Arteta amekaririka. Naona watu wanalaumu kwamba timu za EPL zinameambiwa zucheze Low block zikikutana na Arsenal.Sasa kama mbinu hiyo inawapa shida Arsenal kwann wasicheze sasa. Arteta akichezewa hivyo ni sare au anafungwa au tubahatishe goal zetu za mipira ya adhabu au kona hatuna mbinu nyingine sabab hatuna wachezaji wakufungua wapinzani zaidi ya wachezaji wakipiga pass tu.
Na hiyo ndio maana halisi ya competition, atafutwe tu kocha mwingine huyu atufikishi popote.
 
Na hiyo ndio maana halisi ya competition, atafutwe tu kocha mwingine huyu atufikishi popote.
Arteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukue😄😄
 
Halftime niliingia online nikakuta kila shabiki analalamika kwamba timu imecheza hovyo.

And yes, timu imecheza hovyo siyo kidogo.

Kama ungekua unaangalia mechi halafu upo na watoto wangekusikia ukiwa unatukana tu.

Ila mwendo ni ule ule mwizi anagewa energy ili aendelee kubondwa
Nimeipenda hii false hope ya kugawa energy kwa mwizi ni nzuri kwa kujifariji kidogo.
Dogo shabiki wa man city mwenye miaka 20 akikusikiliza unaongea anaona huyu father vipi mbona kama kachanganyikiwa .

Tafadhali epuka kuongea mambo ya mpira mbele ya madogo haswa wa liverpool na man city maana wamekuzidi kushuhudia makombe epl na UCL maana utaona kama dharau kumbe ni hali halisi
 
Kuna muda unawaza ni kweli ordegard na saka wana nuksi na makombe makubwa.
Acha false hope kaka, kwani kocha mwenye arteta yeye ana kombe gani kubwa akiwa anacheza arsenal? Nuksi ipi unayoongelea wamecheza kina van persie, fabregas na wengine na hawajapata kombe lolote kubwa.
Arsenal ndo ina nuksi na makombe makubwa.
 
Angalia hizi game Manchester city atakavyozucheza hadi anakuwa bingwa. Arsenal sahizi badala waamke wapambane sababu ligi ndo inaelekea mwishoni, timu ikidondosha points ndo basi hamna tena marudiano. Arsenal ndo kwanza anazidi kujirudisha nyuma. Anapiga hatua 5 mbele, anarudi hatua nyuma...hivyohivyo hadi ManCity atamkuta na kumuacha. Arsenal hapotezagi sana mechi kwa kufungwa ila yye anakosaga kombekwa sare nyingi😅😅😅
Si tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?
Man city now wapo kusaka ubingwa as fans and players lakini arsenal fans wao wapo kwenye kugawa energy drinks 😂😂.
Mkorea ongeza energy drinks 2 tafadhali
 
False hopers kabla ya kugawa energy drinks. Naomba tupige ile dance ya Cunha.
 

Attachments

  • IMG_3264.gif
    IMG_3264.gif
    4.3 MB · Views: 7
Acha false hope kaka, kwani kocha mwenye arteta yeye ana kombe gani kubwa akiwa anacheza arsenal? Nuksi ipi unayoongelea wamecheza kina van persie, fabregas na wengine na hawajapata kombe lolote kubwa.
Arsenal ndo ina nuksi na makombe makubwa.
Tuki draw, huwa uko faster kuleta tumbo lako ka diaba.
 
Arteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukue😄😄
Duh ww jamaa kama n mapenzi kwa Arsenal sasa h n umekufa kabisa 😂

Kwamba arteta ndo ameanza kuifundisha timu, Yn zaidi ya miaka mitano ww unakuja kusema ndo anaanza 😂

Kuna jamaa ndani ya miezi yake 18 ya mwanzo kwenye timu akitokea championship amebeba conference na world cup, Afu ww Miaka zaid ya mitano ety anaanza kufundisha timu 😂 Mkiwa mnajisifia kumfunga Chelsea Hua mnanifurahishaga Sana 😂

Ndo ibaki point moja, muanze kubadilishana 1st position na Man City ndo akili zitawarudi.
 
arsenal ukimtoa declan ,wengine waliobaki wanacheza kitoto mno.. no desire to win a match ,no fighting spirit and no maturity level kama aliyokuwa nayo mwamba.
 
Arteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukue😄😄
🤣🤣🤣 Kitendo tu cha kushabikia Arsenyau lazima kuna fuse kichwani ziungue, yaani Tetea kiwigi huu msimu wake wa 6 unaenda wa 7 halafu kuna kima zinamtetea kua "Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha Mkuu"
Sasa hivi nimeanza kuamini rasmi zile takwimu za ile hosptali kubwa ya kule Dodoma.
 

Attachments

  • 1770964316809.jpg
    1770964316809.jpg
    154.6 KB · Views: 6
🤣🤣🤣 Kitendo tu cha kushabikia Arsenyau lazima kuna fuse kichwani ziungue, yaani Tetea kiwigi huu msimu wake wa 6 unaenda wa 7 halafu kuna kima zinamtetea kua "Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha Mkuu"
Sasa hivi nimeanza kuamini rasmi zile takwimu za ile hosptali kubwa ya kule Dodoma.
Ndo football na kupenda jambo flani uvumilivu upo pia so, acha tuvumilie labda anaweza kutupatia mafanikio maana ndo kocha wetu kwa sasa na ligi bado haijaisha anaweza kubadirisha kitu bado.
 
Si tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?
Man city now wapo kusaka ubingwa as fans and players lakini arsenal fans wao wapo kwenye kugawa energy drinks 😂😂.
Mkorea ongeza energy drinks 2 tafadhali
Na shida tuna game nae kwao, hii game inaweza kuamua bingwa
 
Si tumekubaliana na castr kama katibu wa ma false hopers kuwa saivi mnagawa energy drink kwa mwizi saivi ama?
Man city now wapo kusaka ubingwa as fans and players lakini arsenal fans wao wapo kwenye kugawa energy drinks 😂😂.
Mkorea ongeza energy drinks 2 tafadhali
🤣🤣🤣 Sema mwanangu Labyrinth 84 unajua sana kukera, endelea kupiga nyundo za kichwa hizi kima maana bado zinapumua.
 
Back
Top Bottom