Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,236
- 3,673
Nimeipenda hii false hope ya kugawa energy kwa mwizi ni nzuri kwa kujifariji kidogo.Halftime niliingia online nikakuta kila shabiki analalamika kwamba timu imecheza hovyo.
And yes, timu imecheza hovyo siyo kidogo.
Kama ungekua unaangalia mechi halafu upo na watoto wangekusikia ukiwa unatukana tu.
Ila mwendo ni ule ule mwizi anagewa energy ili aendelee kubondwa
Dogo shabiki wa man city mwenye miaka 20 akikusikiliza unaongea anaona huyu father vipi mbona kama kachanganyikiwa .
Tafadhali epuka kuongea mambo ya mpira mbele ya madogo haswa wa liverpool na man city maana wamekuzidi kushuhudia makombe epl na UCL maana utaona kama dharau kumbe ni hali halisi