kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,121
- 15,686
Wanetu mmedrop point .... safi sana ...
Hii ndo mida ya Pep, hacheki na yeyote anaekatiza mbele yake ....
Hivi mmeangalia table yenu game 6/7 zijazo ? Mkiambulia pwenti 10 mtashukuru sana !
Kwa huu mpira wa back pass, side way passes, na kutegemea set pc ?
Mtaliwa kiboga mpaka mfurahi
Ode /Eze matakataka ... hakuna anaweza kupiga zile killer pass ... pass mpapaso, mipass ya upendo ... the likes of ozil, Bruno, fab, kdb etc
Hii ndo mida ya Pep, hacheki na yeyote anaekatiza mbele yake ....
Hivi mmeangalia table yenu game 6/7 zijazo ? Mkiambulia pwenti 10 mtashukuru sana !
Kwa huu mpira wa back pass, side way passes, na kutegemea set pc ?
Mtaliwa kiboga mpaka mfurahi
Ode /Eze matakataka ... hakuna anaweza kupiga zile killer pass ... pass mpapaso, mipass ya upendo ... the likes of ozil, Bruno, fab, kdb etc