Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanetu mmedrop point .... safi sana ...

Hii ndo mida ya Pep, hacheki na yeyote anaekatiza mbele yake ....

Hivi mmeangalia table yenu game 6/7 zijazo ? Mkiambulia pwenti 10 mtashukuru sana !

Kwa huu mpira wa back pass, side way passes, na kutegemea set pc ?

Mtaliwa kiboga mpaka mfurahi

Ode /Eze matakataka ... hakuna anaweza kupiga zile killer pass ... pass mpapaso, mipass ya upendo ... the likes of ozil, Bruno, fab, kdb etc
 
Hakuna watu wapo NAIVE kama mashabiki.

He who laughs last.....malizia hapo! Ubingwa hauji tu kirahisi, kwamba gunners washinde kila mechi wanazocheza, it's a game of lose, win or draw. Expect City to drop points too.
 
Na shida tuna game nae kwao, hii game inaweza kuamua bingwa
🤣🤣🤣 Nakuhakikishia kabla ya kukutana na City, Man City atakua tayari amewapita kwa points 4 akiwafunga anawaacha kwa points 7.
 

Attachments

  • 1770968849449.jpg
    1770968849449.jpg
    32.9 KB · Views: 8
Arteta akivumiliwa na mwaka huu tutashangaa ila shida pia makocha wazuri nao sokoni ni mtihani si unaona Man u na Chelsea wanavyohaha kufukuza na kuleta makocha wapya. Arteta ni anavumiliwa sababu ndo kwanza anaanza kuinoa timu ya kwanza akiwa kama kocha mkuu na anaonesha kitu kwamba huko mbeleni atakuwa tishio acha aendelee kujifunzia Arsenal ili baadae akikomaa Barca au Madrid wamchukue😄😄
Fabregas ni mzuri zaidi ya Arteta!! tunahitaji kocha "katili" kama Simeone hivi mwenye mentality ngumu sio huyu ambaye akiwa under pressure anapanic.
 
Fabregas ni mzuri zaidi ya Arteta!! tunahitaji kocha "katili" kama Simeone hivi mwenye mentality ngumu sio huyu ambaye akiwa under pressure anapanic.
Ni kweli EPL inahitaji mbinu zaidi maana timu zinapambana mno. Fabregas mzuri kwa ligi yake pia kule ngoja aletwe nae tutampima EPL. Diego Simeone( Cholo) hata wachezaji wake anawachagua wagumuwagumu kulingana na mfumo wake. Yuko kama Morihno tu linapokuja swala la mentality, kama mlegevulegevu kama Eze utakula bench na anaweza kukuuza kabisa sabb mfumo wake unataka kupambana mno ndo maana Morinho akiicha timu basi wachezaji wengi wanakuwa wamechoka, wanatumika sana.
 
Kuna kajamaa humu kila siku ngebe na kuwapa matumaini hewa.....

Ooh mara mkidraw, watu wanawacheka kwa sababu standard... kwa hiyo ety mko high rated!

Mara kanakuja kusema kanawapa watu energy drink!

Tukiwaambia Arteta hana mbinu mmbadala mechi ikiwapalia hamtaki .... okeey tutakuwepo !!!!

Wachezaji hawana mentality ya ushindi... mtu kama Eze amelegea kama mlenda ndo awape Epl ?
 
Jürgen Klopp kuhusu mbio za ubingwa wa Premier League baada ya Arsenal kupoteza pointi dhidi ya Brentford:

🗣️ “Kuwa na Manchester City nyuma yako ni kama kufukuzwa na mbwa mkali.
 
Na shida tuna game nae kwao, hii game inaweza kuamua bingwa
Ubingwa ushaamuliwa kitambo toka cunha apige lile bao na ile dance nikaona kabisa shughuli imeiishaa.

Game zilizobaki sasa ndo hutakaa umuone man city anapoteza , game ya liverpool uliona mtu katoka one behind na akashinda zikiwa zimebaki dk15 tu.

False hopers hakuna mnachokijua hata jana nadhani kati ya nyie na brentford aliyekuwa anataka points 3 zaidi ni brentford kushinda hata nyie.
 
Ubingwa ushaamuliwa kitambo toka cunha apige lile bao na ile dance nikaona kabisa shughuli imeiishaa.

Game zilizobaki sasa ndo hutakaa umuone man city anapoteza , game ya liverpool uliona mtu katoka one behind na akashinda zikiwa zimebaki dk15 tu.

False hopers hakuna mnachokijua hata jana nadhani kati ya nyie na brentford aliyekuwa anataka points 3 zaidi ni brentford kushinda hata nyie.
Hatari sana. Game ya Liverpool nayo iliumiza ingawa Liver si timu yangu kiukweli yaan kashindwa kuzuia sare kwake na mchezo aliushika kwelikweli.
 
Jürgen Klopp kuhusu mbio za ubingwa wa Premier League baada ya Arsenal kupoteza pointi dhidi ya Brentford:

🗣️ “Kuwa na Manchester City nyuma yako ni kama kufukuzwa na mbwa mkali.
Hapo arsenal ndo anamkimbiza man city mpaka sasa na si man city . Fuatilia team yoyote ikiwa kwenye mbio za ubingwa na arsenal lazima iwe bingwa hata kama ni wigan unakumbuka ya leicester city, chelsea 2005
 
Hatari sana. Game ya Liverpool nayo iliumiza ingawa Liver si timu yangu kiukweli yaan kashindwa kuzuia sare kwake na mchezo aliushika kwelikweli.
Arsenal fungu la kukosa mkuu , kuelekea hii march ndo utajua kwanini tunawaita false hopers!
Team inapiga pass haielewekii ni pass za nini zinapigwa pasi nyingi ilimradi tu itokee corner. Ubingwa wa corner labda mje mcheze huku bara la giza lakini sio hapo EPL.

Anyway castr amefuata energy drinks mwizi anaefuata ni wolves ngoja tuone.
 
Ubingwa ushaamuliwa kitambo toka cunha apige lile bao na ile dance nikaona kabisa shughuli imeiishaa.

Game zilizobaki sasa ndo hutakaa umuone man city anapoteza , game ya liverpool uliona mtu katoka one behind na akashinda zikiwa zimebaki dk15 tu.

False hopers hakuna mnachokijua hata jana nadhani kati ya nyie na brentford aliyekuwa anataka points 3 zaidi ni brentford kushinda hata nyie.
Hii City unayoshindaga ukiimba kila siku ni ya kawaida Sana bro, Don't think they'll win all their remaining games
 
arsenal ukimtoa declan ,wengine waliobaki wanacheza kitoto mno.. no desire to win a match ,no fighting spirit and no maturity level kama aliyokuwa nayo mwamba.
No sio peke yake, nakukatalia ht Kwa facts/statistics, wachezaji Hawa pia Kwa msimu huu wanaipambania timu to the maximum ni basi tu:-
1.Beki Gabriel
2.Beki Saliba
3.Beki kulia Timber
4.Zubimendi(japo baadhi mechi chache sana anapoteaga)
5.Kipa Raya
6.Na huyo Rice pia, kdgo na Trossard Hawa ndo wanaibeba timu since Ligi inaanza msimu huu Hadi kufika sasa...
Saka, Gyokyeres, Martineli, Odegard,sijui Madueke hata kama Wana idadi kadhaa magoli na assisti stili hawajafikia upambanaji wao hao wachezaji sita/saba na kujitoa Kwa Ajili timu.
 
Back
Top Bottom