Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna mchezaji wa maana atakaa Newcastle kwa sasa chini ya vision ya mtu kama Howe. Wengi wanaenda pale kutafuta platform ya kuonekana.

Muone Isak, ona Gordon. Notice kwamba agent waTonali alimleta kwetu tumsajili dirisha hili la January.

Wengine wanafuata pesa. Wissa na Bruno na Woltemade.

Hakuna mchezaji wa maana ataiangalia Newcastle halafu atasema mimi nitamaliza maisha yangu hapa
Huyu Tonali tupite nae kiangazi.
 
1770479327483.jpg
 
Wayback nilisema Kai works better kama SS, same na Timo Werner naye utaona akiwa mzuri formation ikimuinclude na SS.

Tangu Kai afike na kucheza nyuma ya Gyokeres inaonekana kama vile Kai anamuelewa Gyokeres kuliko watu wote.
 
Norgaard alikua kapteni na starter wa Brentford akiingia kucheza usidhani atakua kiazi kama baadhi ya mashabiki wanavyohofia.

Mechi dhidi ya Kairaty ilisababisha mashabiki waseme bora aanze yeye mechi dhidi ya Leeds Zubimendi apumzike.

He is acrobatic, intelligent na anakaba. Ila sasa huwezi jua kwenye mkataba ameletwa kama nani pengine ni rotation player na yeye aliridhika kwakua ndoto yake ilikua ni kucheza Arsenal.

But Norgaard siyo kiazi kabisa
 
Jana Rice akamkunjia roho Eze kutokana na swala la kukaba, last match Eze alikua hadi anahema kwa mdomo nafikiri Eze kwenye standards za ukabaji bado hayupo vizuri.

Trossard n Saka wapo nje. So eventually tunaweza muona Eze/ Jesus right/ left wing.

Bado games 13. Let's see
 
Match day 3
Liverpool points 9 (1st)
Arsenal points 6 (3rd)

Match day 5
Liverpool points 15 (1st)
Arsenal points 10 (2nd)

Match day 7
Arsenal points 16 (1st)
Liverpool points 15 (2nd)

Match day 25
Arsenal points 56 (1st)
Liverpool points 39 (6th)

Halafu mashabiki wanakuambia tufungwe Arsenal asichukue kombe 😅😅 nimekuta mashabiki wazungu online wanatukana kwanini wengine wanaona ni sawa wagombee kwenda conference league?

Kwanini Liverpool hawaitwi bottlers ingawa walianza ligi kwa hiyo pace?

Kwanini Chelsea hawaitwi bottlers kutokana na performance ya msimu uliopita?

Hizi sasa ndiyo narratives unazotakiwa kua aware nazo zisikutoe kwenye reli
 
13 games, 6 home na 7 away!!
Hizo away games washinde walau tatu na sare tatu, then capitalise on home games zipatikane 18 points.

Is it possible ?
 
Jana Rice akamkunjia roho Eze kutokana na swala la kukaba, last match Eze alikua hadi anahema kwa mdomo nafikiri Eze kwenye standards za ukabaji bado hayupo vizuri.

Trossard n Saka wapo nje. So eventually tunaweza muona Eze/ Jesus right/ left wing.

Bado games 13. Let's see
Ndio faida ya kuwa na wachezaji Versatile.. kuna namna msimu huu majeruhi hayajatupasua saana kichwa kama misimu kadhaa nyuma, KAI amekaa nje, kina saliba na malghales nao kwa wakati wao, jesus nae kama kawaida,calafiori, saka ndio huyo lakini mambo yanasonga kwa kupokezana
 
🤣🤣🤣 Namuona Masingeli jinsi anavyochungulia kwenye hili jukwaa huku anachekelea kimoyomoyo, anatamani kinoma aendeleze false hopes zake humu ila anajua akitia tu mguu wahuni wataruka nae.
Mwanangu Masingeli we endelea tu kuchungulia hivyohivyo, ila siku ukijichanganya tu ukaanza kuandika ngonjera zako, basi utakua ndio rasmi umetia gundu, Arsenyau lazima itaanza kugongwa hovyohovyo.
 

Attachments

  • 1714807120146.jpg
    1714807120146.jpg
    163.4 KB · Views: 4
🤣🤣🤣 Namuona Masingeli jinsi anavyochungulia kwenye hili jukwaa huku anachekelea kimoyomoyo, anatamani kinoma aendeleze false hopes zake humu ila anajua akitia tu mguu wahuni wataruka nae.
Mwanangu Masingeli we endelea tu kuchungulia hivyohivyo, ila siku ukijichanganya tu ukaanza kuandika ngonjera zako, basi utakua ndio rasmi umetia gundu, Arsenyau lazima itaanza kugongwa hovyohovyo.
Mkuu naona mpo kwny mbio za ubingwa🤠🤠🤠....haya machachari yenu wiki mbili zijazo Kuna jambo litawakuta tu....bdo bwana Kariki wapinzani wanamsoma
 
Back
Top Bottom