Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Huyu Tonali tupite nae kiangazi.Hakuna mchezaji wa maana atakaa Newcastle kwa sasa chini ya vision ya mtu kama Howe. Wengi wanaenda pale kutafuta platform ya kuonekana.
Muone Isak, ona Gordon. Notice kwamba agent waTonali alimleta kwetu tumsajili dirisha hili la January.
Wengine wanafuata pesa. Wissa na Bruno na Woltemade.
Hakuna mchezaji wa maana ataiangalia Newcastle halafu atasema mimi nitamaliza maisha yangu hapa