Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Miaka 5 unaona michache sio? Tushabeba kombe tayari miaka ishafutika, Newcastle ya sasa ni ya matajiri tena mna bahati tu wameleta mambo ya PSR ingekuwa enzi zile wangemiminika vifaa vyakutosha

sasa arsenal si tumezoea wazee wakuchoma mzee hatujazoea city kuchoma. Tunachojua mtachoma muda wowote ule ni suala la muda tu , pamoja na kuwalazimisha kuchukua ubingwa ila bado mtazingua .

Mwaka huu mkishindwa kuchukua basiii tutawatandika viboko wote nyinyi.
Naona umeanza kubadili msimamo wako sasa umegeuza ubao umeanza kusema mwaka huu tusipochukua

Huwa unanichekesha Sana we jamaa na hizi ngojera zako😅
 
Guardiola uwezo wake ndo umeisha hapo hivo Hana maajabu tena.
Huu msimu pia kuna uwezekano akatoka patupu bila kombe lolote
 
Naona umeanza kubadili msimamo wako sasa umegeuza ubao umeanza kusema mwaka huu tusipochukua

Huwa unanichekesha Sana we jamaa na hizi ngojera zako
Huyu ni wa kwetu kabisa, analikataa chama humu mtandaoni tuuu. Ila mtaani ni Arsenal lia lia
 
Kutoka Instagram,

Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.

Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."


Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.

Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.
 
Kutoka Instagram,

Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.

Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."


Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.

Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.
Kai si karudi?
 
Kwa mara ya kwanza tuliingia dirisha la usajili January na hakuna shabiki aliyeona tunahitaj kusajili.

Sasa Merino kaumia.

Kai inatakiwa asicheze sana.

Nikajisemea si tuna Eze na Norgaard? Nikakumbuka nilivyokua najisemea si tuna fulani na fulani halafu tunaanza kupoteza points.

Kubababake kama Berta na Arteta wanasema tunasajili let's fuckin do it, hakuna kuonea huruma hizi pimbi.
 
Kutoka X

Arsenal wamewasiliana na Newcastle kuhusu uwezekano wa kupata huduma ya Sandro Tonali!!!!!!!!
 
Anaandika Florian Plettenberg wa Sky Sports, huko X (Saa 12:00): "EXCLUSIVE | Arsenal are exploring a surprising Deadline Day move for Sandro #Tonali.

Very difficult at this stage, as Newcastle have rejected an initial approach."
 
Lee Ryder, mwandishi wa habari za Newcastle (Saa 12:12): It's understood that #nufc have instantly dismissed any suggestions of Arsenal and Sandro Tonali. No contact whatsoever I'm told
 
Luke Edwards, BBC sports podcaster (12:25): Newcastle United have described stories claiming Arsenal have made a late attempt to sign midfielder Sandro Tonali as “stupid” and “complete rubbish.” But other than that, it’s a good story.
 
Muda huuu (13:00), Fabby na Ornstein, wametulia tuuu wakicheki adrenaline rush kwa mashabiki wa Arsenal
 
Kutoka Instagram,

Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.

Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."


Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.

Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.
We will miss him dearly but he will come back strong
 
Screenshot_20260202-155955~2.jpg
 
Back
Top Bottom