Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,137
- 18,796
Naona umeanza kubadili msimamo wako sasa umegeuza ubao umeanza kusema mwaka huu tusipochukuaMiaka 5 unaona michache sio? Tushabeba kombe tayari miaka ishafutika, Newcastle ya sasa ni ya matajiri tena mna bahati tu wameleta mambo ya PSR ingekuwa enzi zile wangemiminika vifaa vyakutosha
sasa arsenal si tumezoea wazee wakuchoma mzee hatujazoea city kuchoma. Tunachojua mtachoma muda wowote ule ni suala la muda tu , pamoja na kuwalazimisha kuchukua ubingwa ila bado mtazingua .
Mwaka huu mkishindwa kuchukua basiii tutawatandika viboko wote nyinyi.
Huwa unanichekesha Sana we jamaa na hizi ngojera zako😅

