Kutoka Instagram,
Mikel Merino: "Time to stop now with a foot injury. Sometimes life throws this kind of challenges when is less convenient. Just another opportunity to be strong, resilient and overcome it. We have the best medical team and together we wil come back stronger.
Thank you all, your support means everything to me and I can't wait to be back on the pitch soon, helping my team and doing what I love..."
Mjuba atakua nje kwa ma-week kadhaa. Wakati huo, Ethan yupo on loan. Baadhi ya pages za wadau wa Arsenal mitandaoni, zina-report Arsenal kuingia sokoni leo, deadline day.
Upande wa maoni mitandaoni, MLS kurudi kati ndo yametamalaki zaidi kule X.