Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,141
- 18,803
Huyu kenge Labyrinth 84 hata hawezi kumbuka ni lini mara ya mwisho Nyukesto waliwahi kuwa tittle contender achilia mbali kubeba ila utamkuta humu ameshupaza shingo kutwa kucha kuikandia Arsenal.Kwanini watu imani ya kwamba ligi itanyanyuliwa ni kubwa? Ni kwakua misimu ya nyuma yote ilikua ikifika January na April kikosi kinaanza kua finyu.
Inashindikana kufocus na tournaments zingine mnaamua kufocus na ligi ila ligi ni long shot. It takes time.
Lakini angalia mechi ya jana dhidi ya Leeds na sub zilizofanywa na waliobaki benchi, Leeds kapoteza game moja kati ya 11, amewafunga na kusuluhu wanaojiona timu kubwa. Pale nyumbani kwake hajapoteza mchezo katika michezo mitano aliyocheza.
Shearer, goal scorer wa Newcastle, akasema defense inaweza kutubeba pale Elland road ila anaamini atmosphere itatutingisha. Arsenal ikaenda na kupata goli nne na points tatu.
Tusi kwa watu wa darajani waliothubutu kumfananisha Raya Arsenal ikatoka na clean sheet ya 12.
Kisha baadaye Newcastle ikacheza, ikafungwa 4. Shearer hatujui kaingilia wapi, shabiki pekee wa Newcastle ninayemjua JF anakuja kunung'unika juu ya Arsenal, kwakua ni mnafiki unajua kabisa kwamba huyu hata hajui kama timu yake ipo karibu kushuka daraja kuliko kuingia top four.
Yeye na Shearer wote wapo kapu moja isipokua mwingine ni mzungu so anajaribu kutumia akili ila huyu black people wetu yeye hata hajui kama jana wamepigwa goli la set piece na Liverpool.
Pumbavu kabisa!