Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwanini watu imani ya kwamba ligi itanyanyuliwa ni kubwa? Ni kwakua misimu ya nyuma yote ilikua ikifika January na April kikosi kinaanza kua finyu.

Inashindikana kufocus na tournaments zingine mnaamua kufocus na ligi ila ligi ni long shot. It takes time.

Lakini angalia mechi ya jana dhidi ya Leeds na sub zilizofanywa na waliobaki benchi, Leeds kapoteza game moja kati ya 11, amewafunga na kusuluhu wanaojiona timu kubwa. Pale nyumbani kwake hajapoteza mchezo katika michezo mitano aliyocheza.

Shearer, goal scorer wa Newcastle, akasema defense inaweza kutubeba pale Elland road ila anaamini atmosphere itatutingisha. Arsenal ikaenda na kupata goli nne na points tatu.

Tusi kwa watu wa darajani waliothubutu kumfananisha Raya Arsenal ikatoka na clean sheet ya 12.

Kisha baadaye Newcastle ikacheza, ikafungwa 4. Shearer hatujui kaingilia wapi, shabiki pekee wa Newcastle ninayemjua JF anakuja kunung'unika juu ya Arsenal, kwakua ni mnafiki unajua kabisa kwamba huyu hata hajui kama timu yake ipo karibu kushuka daraja kuliko kuingia top four.

Yeye na Shearer wote wapo kapu moja isipokua mwingine ni mzungu so anajaribu kutumia akili ila huyu black people wetu yeye hata hajui kama jana wamepigwa goli la set piece na Liverpool.
Huyu kenge Labyrinth 84 hata hawezi kumbuka ni lini mara ya mwisho Nyukesto waliwahi kuwa tittle contender achilia mbali kubeba ila utamkuta humu ameshupaza shingo kutwa kucha kuikandia Arsenal.

Pumbavu kabisa!
 
Arsenal bana yaani unatoka kabisa unasema Liverpool alikaa miaka mingap? Wakati Liverpool kachukua UEFA hapo katikati kibao na fainali kacheza nyingi.
Alikuwa anazunguzia EPL na sio mataji mengine.
Na kama ni mataji mengine basi Arsenal imechukua FA za kutosha tu hapo katikati
 
Nani anajulikana kwa kupaki bus, uliangalia fainali ya Inter vs Barca ? Ni namna gani Mou alibeba lile kombe? Alicheza attractive football? Fegerson alivyomfunga Bayern dakika za mwisho alicheza attractive game?
Ile semi-final mourinho first leg inter alishinda kaenda Nou camp kuna mchezaji wa inter alipigwa red card ulitaka mourinho afanye nini mzee ilikua nikulinda tu mwanzo mwisho na ni mtaalam wa kazi hio sio kama nyie watu wakiwashikia kasi tu dakika 10 nyingi mnakufa.
 
Huyu kenge Labyrinth 84 hata hawezi kumbuka ni lini mara ya mwisho Nyukesto waliwahi kuwa tittle contender achilia mbali kubeba ila utamkuta humu ameshupaza shingo kutwa kucha kuikandia Arsenal.

Pumbavu kabisa!
Mimi ninachokumbuka newcastle ndani ya miaka 3 tuna kombe , nyinyi ndani ya miaka 3 mna nini cha maana zaidi ya nafasi ya 2.
 
Mimi ninachokumbuka newcastle ndani ya miaka 3 tuna kombe , nyinyi ndani ya miaka 3 mna nini cha maana zaidi ya nafasi ya 2.
Tuna miaka mitano tu hatujabeba kombe coz mara ya mwisho kubeba kombe ilikuwa 2020 ( FA cup)

Haya wewe sasa Nambie kabla ya kubeba carabao msimu Jana mlikuwa mmekaa miaka mingapi bila kuchukua kombe lolote.

Naomba unijibu tafadhali
 
Tuna miaka mitano tu hatujabeba kombe coz mara ya mwisho kubeba kombe ilikuwa 2020 ( FA cup)

Hata wewe sasa Nambie kabla ya kubeba carabao msimu Jana mlikuwa mmekaa mingapi bila kuchukua kombe lolote.

Naomba unijibu tafadhali
Tangu Newcastle ianzishwe ile Carabao ndiyo kikombe chao cha kwanza.

Timu inavuja kila sehemu lakini husikii kocha akiogopa kufukuzwa wala mashabiki kudai kocha hafai.
 
Tangu Newcastle ianzishwe ile Carabao ndiyo kikombe chao cha kwanza.

Timu inavuja kila sehemu lakini husikii kocha akiogopa kufukuzwa wala mashabiki kudai kocha hafai.
Afu jamaa anakaza fuvu kujifanya mjuaji kutuliko Sisi wakati timu yake yenyewe tunaijua ndani nje
 
Tuna miaka mitano tu hatujabeba kombe coz mara ya mwisho kubeba kombe ilikuwa 2020 ( FA cup)

Haya wewe sasa Nambie kabla ya kubeba carabao msimu Jana mlikuwa mmekaa miaka mingapi bila kuchukua kombe lolote.

Naomba unijibu tafadhali
Miaka 5 unaona michache sio? Tushabeba kombe tayari miaka ishafutika, Newcastle ya sasa ni ya matajiri tena mna bahati tu wameleta mambo ya PSR ingekuwa enzi zile wangemiminika vifaa vyakutosha.
 
Miaka 5 unaona michache sio? Tushabeba kombe tayari miaka ishafutika, Newcastle ya sasa ni ya matajiri tena mna bahati tu wameleta mambo ya PSR ingekuwa enzi zile wangemiminika vifaa vyakutosha.
Sasa kama miaka 5 ni mingi na vipi kuhusu miaka 70 ambayo timu yako ilikaa bila kushinda chochote😂
 
Mpaka mseme. Saivi tumekuja hivi mipira ya kona.
1769944028509.jpg
 
Back
Top Bottom