Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,316
- 3,947
Mimi ninachokumbuka newcastle ndani ya miaka 3 tuna kombe , nyinyi ndani ya miaka 3 mna nini cha maana zaidi ya nafasi ya 2.Huyu kenge Labyrinth 84 hata hawezi kumbuka ni lini mara ya mwisho Nyukesto waliwahi kuwa tittle contender achilia mbali kubeba ila utamkuta humu ameshupaza shingo kutwa kucha kuikandia Arsenal.
Pumbavu kabisa!