Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunachokifanya arsenal ni uhuni, tunaenda kuchukua ligi kihuni huni tu

Hakuna open play goals, magoli yote ya kihuni huni (magoli ya kurundikana golini)

Kwa mwendo huu arteta ni kocha msaidizi kocha mkuu ni huyu wa set pieces
Ian Wright anakuambia tulishacheza entertaining football na haikutugea chochote.

Yupo radhi tutembee na boring football huku tuna makombe.
 
Ian Wright anakuambia tulishacheza entertaining football na haikutugea chochote.

Yupo radhi tutembee na boring football huku tuna makombe.
Hizo ni kauli za mashabiki, mashabiki wanataka makombe. Hata haya matusi tunayopata himu jf yataisha kwa kombe la maana likiingia msimu huu

Swali linarudi sasa, ina maana plan A ya arteta ni set pieces ? Arteta anafundisha mpira huu?

Ikitokea tumebeba kombe la maana kwa mwendo huu alafu ukisikia viongozi wa juu hawana imani na arteta utashangaa?

Arteta anacho tufanyia ni uhuni kama uhuni mwingine, shida ya njia za kihuni huwa hazina mbio ndefu
 
Hizo ni kauli za mashabiki, mashabiki wanataka makombe. Hata haya matusi tunayopata himu jf yataisha kwa kombe la maana likiingia msimu huu

Swali linarudi sasa, ina maana plan A ya arteta ni set pieces ? Arteta anafundisha mpira huu?

Ikitokea tumebeba kombe la maana kwa mwendo huu alafu ukisikia viongozi wa juu hawana imani na arteta utashangaa?

Arteta anacho tufanyia ni uhuni kama uhuni mwingine, shida ya njia za kihuni huwa hazina mbio ndefu
Arsenal ni ya tatu au ya pili miongoni mwa timu zilizofunga magoli mengi.

Ni ya tatu au ya pili miongoni mwa timu zilizotengeneza big chances nyingi. Ya kwanza ni City.

Ni ya pili au ya kwanza kwa timu zinazoingia sana kwenye boksi la mpinzani. Ya kwanza ni City.

Ni ya tatu kwa timu iliyokosa big chances nyingi. Ya kwanza ni City.

Ni ya tatu kwa timu zenye shots on target nyingi.

Timu yenye kona nyingi ni Newcastle.

Ni ya mwisho kwa timu zilizocheza long balls nyingi.

Kwa hizo stats unaweje kusema hii ni timu inayotegemea set pieces kuondoka na ushindi?
 
Na hizo stats zote zinajidhihirisha na kuleta matunda tukiwa nje ya Uingereza. Hii ni kwakua timu za nje ya Uingereza approach yao ya kwanza siyo kufanya low block na kutegea counter n long balls.

mkorea
 
Naona leo tunafanya clearance nyingi sana tofauti na siku zingine
 
Inawezekana tunaingia sana kwenye box za wapinzan lakini tusiwe tishio

Au tunapiga shoots on targets nyingi au tuna goals nyingi lakini build up ya timu ikawa sio threat kwa wapinzani. Mfano mzuri game na nyumbu

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hii timu

Castr
 
Tunachokifanya arsenal ni uhuni, tunaenda kuchukua ligi kihuni huni tu

Hakuna open play goals, magoli yote ya kihuni huni (magoli ya kurundikana golini)

Kwa mwendo huu arteta ni kocha msaidizi kocha mkuu ni huyu wa set pieces
Tukipewa penati mtalia, acheni hii open play wote tunakabana.

Mbinu ni mbinu tu, ili mradi haidhulumu mtu.
 
Arsenal ni ya tatu au ya pili miongoni mwa timu zilizofunga magoli mengi.

Ni ya tatu au ya pili miongoni mwa timu zilizotengeneza big chances nyingi. Ya kwanza ni City.

Ni ya pili au ya kwanza kwa timu zinazoingia sana kwenye boksi la mpinzani. Ya kwanza ni City.

Ni ya tatu kwa timu iliyokosa big chances nyingi. Ya kwanza ni City.

Ni ya tatu kwa timu zenye shots on target nyingi.

Timu yenye kona nyingi ni Newcastle.

Ni ya mwisho kwa timu zilizocheza long balls nyingi.

Kwa hizo stats unaweje kusema hii ni timu inayotegemea set pieces kuondoka na ushindi?
Tumecheze entertaining football mda mrefu sana, tunahitaji makombe. Iwe corner kicks, free kicks or whatever, owe boring football tunachotaka ni silverware kwa kweli.
 
Inawezekana tunaingia sana kwenye box za wapinzan lakini tusiwe tishio

Au tunapiga shoots on targets nyingi au tuna goals nyingi lakini build up ya timu ikawa sio threat kwa wapinzani. Mfano mzuri game na nyumbu

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hii timu

Castr
Okay
 
Ian Wright anakuambia tulishacheza entertaining football na haikutugea chochote.

Yupo radhi tutembee na boring football huku tuna makombe.
Waambie bro! Watoto wa Jana Hawa kikazi Cha Man city, AntonioConte na Mourinho, Solsha(japo Hana kombe) na ht Fergie japo huyu Babu sikumuona sana, walichkua Epl bila kucheza sexiest football au gegen pressing,nk km ya Barcelona,Liverpool,Bayern nk, pasi ndefu, counter attack wapo golini wanakufunga, washachukua pointi3, Tena km Mourinho aliipeleka hio staili mpk real Madrid msimu wa 2010-13 alichkua La Liga na Copa de Rey chini ya Barca Bdo ya moto chini Messi,xavi na iniesta
 
Back
Top Bottom