Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🤣🤣🤣 Usiempenda kaja, kwa heri Uefa kwa heri Epl, Arsenyau Best timu of season anamaliza msimu mikono mitupu😂😂😂
Kwamba huyu mtu alivyoona hizo picha akadhani ni draw ya UEFA.

Na akascreenshot kuja kushare na maneno ya jikoni?

Unaona watu ambao unahisi unatakiwa kuongea nao juu ya mpira? Hawa watu ni kuongea nao juu ya matako tu.

Mwanangu kama una demu anapiga miguu yote na yupo Dodoma share number DM.
 
Kwamba huyu mtu alivyoona hizo picha akadhani ni draw ya UEFA.

Na akascreenshot kuja kushare na maneno ya jikoni?

Unaona watu ambao unahisi unatakiwa kuongea nao juu ya mpira? Hawa watu ni kuongea nao juu ya matako tu.

Mwanangu kama una demu anapiga miguu yote na yupo Dodoma share number DM.
Angalia exotic.com kwa google chrome.
 
Kwamba huyu mtu alivyoona hizo picha akadhani ni draw ya UEFA.

Na akascreenshot kuja kushare na maneno ya jikoni?

Unaona watu ambao unahisi unatakiwa kuongea nao juu ya mpira? Hawa watu ni kuongea nao juu ya matako tu.

Mwanangu kama una demu anapiga miguu yote na yupo Dodoma share number DM.
Kupiga miguu yote ( kwa mwanamke) ndo kufanyaje Castr 😅
 
Arteta kasema kwamba Odegaard kutobaki juu ya line na kuja chini kurudi karibu na defense na kupokea mipira siyo maelekezo yake isipokua ni instincts za Odegaard mwenyewe.

Kati ya MF wetu Eze hua hashuki chini na ni MF ambaye anapokea mpira huku yupo under pressure ya defense ya timu pinzani. Notice kwamba mara nyingi Odegaard akipokea mpira anakua peke yake bila pressure na kama ipo ni ya mchezaji mmoja ambaye atadribble na kutoa pasi nyuma kwa beki ambaye ametoka kumpa yeye mpira au atapeleka kwa Saka.

Naamini pia Calafiori pia anaangukia kundi hili kwamba anachofanya siyo maelekezo ya kocha. Ile kuzunguka uwanja mzima na kuacha upande wake kua wazi ni yeye mwenyewe. Lakini kwanini anagewa namba pamoja na haya? Hiki anachofanya kinasaidia kucreate chances.

So mashabiki tunaona kwamba Odegaard anasaidia defense ila hiyo haikua kazi yake ilikua ni ya Zubimendi na Rice. Yeye alitakiwa abaki juu kidogo kumletea mipira ST.

Saka pasi zake nyingi ilibidi azipate kutoka kwa Timber. Odegaard alitakiwa awe sehemu ya threat kwa upinzani siyo mtoa relief.
 
kelele zote tunajua wa mjini kumbe!! unauliza maswali mepesi hivi
Kwa context ya mpira naelewa maana ya kupiga miguu yote.
Na kitaalam mchezaji anayecheza kwa miguu yote miwili hitwa * ambidextrous*
Santi Carzola no mfano mzuri.

Sasa niliomba kujuzwa maana ya mwanamke kupiga miguu yote miwili au ndo ufundi kitandani??

Castr
 
Kwa context ya mpira naelewa maana ya kupiga miguu yote.
Na kitaalam mchezaji anayecheza kwa miguu yote miwili hitwa * ambidextrous*
Santi Carzola no mfano mzuri.

Sasa niliomba kujuzwa maana ya mwanamke kupiga miguu yote miwili au ndo ufundi kitandani??

Castr
Inamaanisha anatoa ndogo pia
 
Arteta kasema kwamba Odegaard kutobaki juu ya line na kuja chini kurudi karibu na defense na kupokea mipira siyo maelekezo yake isipokua ni instincts za Odegaard mwenyewe.

Kati ya MF wetu Eze hua hashuki chini na ni MF ambaye anapokea mpira huku yupo under pressure ya defense ya timu pinzani. Notice kwamba mara nyingi Odegaard akipokea mpira anakua peke yake bila pressure na kama ipo ni ya mchezaji mmoja ambaye atadribble na kutoa pasi nyuma kwa beki ambaye ametoka kumpa yeye mpira au atapeleka kwa Saka.

Naamini pia Calafiori pia anaangukia kundi hili kwamba anachofanya siyo maelekezo ya kocha. Ile kuzunguka uwanja mzima na kuacha upande wake kua wazi ni yeye mwenyewe. Lakini kwanini anagewa namba pamoja na haya? Hiki anachofanya kinasaidia kucreate chances.

So mashabiki tunaona kwamba Odegaard anasaidia defense ila hiyo haikua kazi yake ilikua ni ya Zubimendi na Rice. Yeye alitakiwa abaki juu kidogo kumletea mipira ST.

Saka pasi zake nyingi ilibidi azipate kutoka kwa Timber. Odegaard alitakiwa awe sehemu ya threat kwa upinzani siyo mtoa relief.
Ødegaard has been shit lately, huwa sipendi tabia yake ya kuremba remba mpira na kufanya mizunguko isiyo na maana.
He needs to learn from Bruno Fernandes jinsi ya kutoa kufeed Gyokeres kwa kumpasia mipira haraka.

Jamaa ckuiz amekuwa mchele mchele tu hata tackles zake ni hovyo Sana.
Angalia lile goli la pili tulilofungwa na Villa kule villa park.Ødegaard alitakiwa auondoshe mpira miguuni mwa mchezaji wa villa ila jamaa alikuwa muoga Sana kuclear ule mpira hadi tukafungwa
 
Kama Arteta ataendelea na odegaard kila mechi basi tuhesabu maumivu.

Ila all in all huwa sina imani na Arteta kwenye mambo yakupambania makombe.

Arsenal inavyocheza msimu huu kama tutabeba kombe ndio itakuwa ni miongoni mwa misimu ambayo bingwa aliecheza hovyo hovyo na akabeba kombe.

Arsenal katika Epl hana hatari sana akiwa anashambulia unaona kabsa ili goli lipatikane basi wapinzani wazingue wenyewe.

Kule Uefa anaelekea kuanza kukutana na timu zinazotaka kombe hapo ndio taona uwezo wake.

Ila hadi sasa ni uwezo wa wachezaji na kocha wa set pieces ndio wanaokoa kibarua cha Arteta.

Ukiondoa mchango wa Jova unaweza kukuta Arteta ana points 10 tu za halali.
 
Asenyaniii.... Leo ni leoooo, mzee odegard, mzee wa kupiga miguu yote🔥🔥
1000291852.jpg
 
Odegaard bench.

Kai kachukua nafasi yake.

The reason it worked juzi ni kwakua Kai aliwekwa karibu na goli.

Kwa formation ya leo naona atasumbuka.

Unless asitarajiwe kulinda.

Hua tunasema timu inayopambani kubaki ni hatari kuliko inayokua imesettle tayari.

Today this is a test
 
Back
Top Bottom