Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,136
- 18,794
Ndio, aanze yeye ili aweze kucreate chaos kwenye defence ya nyumbuJesus anafaa sana kuanza game ya leo kuliko Gyökeres
Ndio, aanze yeye ili aweze kucreate chaos kwenye defence ya nyumbuJesus anafaa sana kuanza game ya leo kuliko Gyökeres
And the rest is history 😅Watu walijimaliza. Usione wana hasira
View attachment 3534093
Wanakufa chache chuma nneNyumbu wana one game winning streak ila kelele wanazopiga baada ya kuifunga City utadhani wameshinda mechi 20 mfululizo.
Hizo kelele zao zinazimwa Leo kwenye mikono ya Arsenal
Arteta kuondoka arsenal sio rahis kama ww unavyo fikiliaKuna siku tulikua tunaambiana kwamba Arsenal akiachana na Arteta ni fair kwakua anahitaji makombe ila itachukua muda Arsenal kumpata kocha sahihi kuliko Arteta kupata timu nyingine.
Wakati huu Arsenal ipo kwenye mazungumzo na Arteta Madrid imemshortlist Arteta miongoni mwa candidates inawafikiria kuwapa mikoba.
Kuna namna arteta anataka kumu-win carrick kwenye overload na transition footballNaona kuna wanetu wanasema wageni wote wameshinda hawajui hii trend ya leo siyo mara ya kwanza.
Jesus kua mbele means atacheza kama false 9 zaidi na hii inaweza saidia kwenye kuwapa back up Odegaard, shida inakuja kwenye wings zetu. Jesus anaweza kuhold defense ila wings zetu hazifanyi kucut in na kuscore.
Labda leo wafanye hivyo la sivyo tutashuhudia wakijichelewesha kumsubiri Jesus awe kwenye boksi.
Maguire kuwepo ni ili aasisst kwenye aerial duels na kuscore but jamaa ni liability. Same na Casemiro na Mainoo. With proper handling natarajia yellow kwa Casemiro au Mainoo.
Let's fuckin go