Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu wana one game winning streak ila kelele wanazopiga baada ya kuifunga City utadhani wameshinda mechi 20 mfululizo.

Hizo kelele zao zinazimwa Leo kwenye mikono ya Arsenal
 
Katika mipira ambayo Arsenal inatusumbua ni long balls na counter hii ni kwakua tunamiliki sana mpira hivyo ni rahisi kutukuta tumetawanyika.

United wanacheza long balls na counter. Kutokana na hili natarajia kutakua na moments za kushikilia kende za hapa na pale. Pia they are not good in defense ila wanapenda kufanya swarming.

Na kwakua sisi hatupigi nje ya box timu yoyote inayofanya swarming hua inatusumbua.

So tunatokaje? Gyokeres aanze ili awatrick mabeki kutojua wafocus na nani, Eze/ Odegaard na Rice wawe wanashoot nje ya box. Wings ziwe fasta kufanya maamuzi.

Zubimendi acheze long balls, AM atume through balls.
 
Wanetu mnaifunga Utd ? Basi pambaneni muongeze wigo wa points.... City huyo hapo matak**ni anawapumulia!!!!

Mkijitahidi kwa wale jamaa labda sare.. yeye hana cha kupoteza,atafunguka haswa... nyie mna presha ya kukaa kule juu kwa wigo mkubwa ! Timber as LB? Ni uchochoro, cala ndo katoka injury hawezi kupangwa..... skelly? Hawez akiwekwa ni red card first half

Ntarudi baada ya mechi !
 
Kikosi kimekaa poa

Arteta ameona leo aanze na jesus, kitu ambacho nilitoka kukisema. Nyumbu anakufa vibaya sana leo
Screenshot_20260125_182113_FotMob.jpg
 
Naona kuna wanetu wanasema wageni wote wameshinda hawajui hii trend ya leo siyo mara ya kwanza.

Jesus kua mbele means atacheza kama false 9 zaidi na hii inaweza saidia kwenye kuwapa back up Odegaard, shida inakuja kwenye wings zetu. Jesus anaweza kuhold defense ila wings zetu hazifanyi kucut in na kuscore.

Labda leo wafanye hivyo la sivyo tutashuhudia wakijichelewesha kumsubiri Jesus awe kwenye boksi.

Maguire kuwepo ni ili aasisst kwenye aerial duels na kuscore but jamaa ni liability. Same na Casemiro na Mainoo. With proper handling natarajia yellow kwa Casemiro au Mainoo.

Let's fuckin go
 
Kuna siku tulikua tunaambiana kwamba Arsenal akiachana na Arteta ni fair kwakua anahitaji makombe ila itachukua muda Arsenal kumpata kocha sahihi kuliko Arteta kupata timu nyingine.

Wakati huu Arsenal ipo kwenye mazungumzo na Arteta Madrid imemshortlist Arteta miongoni mwa candidates inawafikiria kuwapa mikoba.
Arteta kuondoka arsenal sio rahis kama ww unavyo fikilia
 
Naona kuna wanetu wanasema wageni wote wameshinda hawajui hii trend ya leo siyo mara ya kwanza.

Jesus kua mbele means atacheza kama false 9 zaidi na hii inaweza saidia kwenye kuwapa back up Odegaard, shida inakuja kwenye wings zetu. Jesus anaweza kuhold defense ila wings zetu hazifanyi kucut in na kuscore.

Labda leo wafanye hivyo la sivyo tutashuhudia wakijichelewesha kumsubiri Jesus awe kwenye boksi.

Maguire kuwepo ni ili aasisst kwenye aerial duels na kuscore but jamaa ni liability. Same na Casemiro na Mainoo. With proper handling natarajia yellow kwa Casemiro au Mainoo.

Let's fuckin go
Kuna namna arteta anataka kumu-win carrick kwenye overload na transition football

Odegard na saka leo watakua na impact kubwa sana kwenye ku-switch

Trossad atategemeana na rice jinsi watavyo switch

Overlap za timber hii itakua kama chit-code yetu leo
 
Kwenye game na man city mzee Ferguson alikuwepo uwanjani, tena alikua anachekelea nyumbu walivyokuwa wanajipigia
Naombea na leo awepo uwanjani pia
 
Sisi nyumbu hilo game jepesi sana, Ndo tumeanza mechi sasa, lazima assanal tumpunue
 
Back
Top Bottom