Mtaachana
JF-Expert Member
- Mar 27, 2025
- 954
- 3,830
3-2 mkuu watu wanapiga miwa sio pwKwani ngapi ngap huko?
3-2 mkuu watu wanapiga miwa sio pwKwani ngapi ngap huko?
Imekuaje kwaniStress over Stress aisee
Angesajili hata kiungo,Zubamendi hakuna kituArsenal kukosa ubingwa inatokana na Thomas Partey
Uzembe wa Coach na management ya Arsenal
Sioni Arsenal kuchukua ubingwa kwa uchezaji huu
Kitu nilisemaKuna trend ipo kwenye mpira. Kama unafuatilia na habari unaweza kua umeigundua.
Utakuta labda mchezaji anasifiwa wiki nzima kwa kuscore, kisha siku ya mechi anazingua.
Anasifiwa kiungo kwa pasi na defense siku moja kabla ya mechi siku mechi inachezwa anakua uchochoro.
Kuanzia wiki iliyopita walikua wanataja timu ambazo hazijapoteza games kipindi kirefu.
Ilikuepo Liver, Bayern na Arsenal. Bayern katika kusapoti hili wakapost kikosi na kusema "Chill team, haijapoteza mchezo"
Kisha Augsburg happened.
Liverpool ikabomb kwa Bournemouth.
Na Arsenal tupo leo na United.
Rudi fastaNitarudi hapa baada ya mechi
Wazee wa standard 😂😂 vipi hivi ulichambua games ukasema mmejiwekea standard za shot on targets sio?Tumenyooshwa kubababake
😅😅😅😅😅Leo Nyumbu akitaka kupisha ataoga nyingi, salama yake aweke timu nyuma acheze kaunta
Namuona carrick akiingia hivyo na mchezo wa kaunta. Coz ni zao la mzee Ferguson