Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kuna muda anazingua sana. Trosard ana kadi hafanyi kitu, abakia hadi sasa kufanya nini.

Timu haina kasi, timber anakimbizwa kimbizwa
 
Chelkenge Mbaga Jr gyokeres ana kuita huku.
FB_IMG_17684252302870103.jpg
 
😂😂😂 false hopers bana umemaliziaje hapo chini.
Vipi kuhusu gyokeres? “ana mikimbio flani hivi na kupress sana hata asipofunga anasaidia team kubalance “ hizi sababu za kila false hoper, nyinyi gyokeres afunge au aendelee ku press na kubalance team.
Narudia tena MSIMU HUU ARSENAL ANATOKA BILA KOMBE LOLOTE
Haya ndio madhara ya kuongea bila kula😂😂
FB_IMG_17684252302870103.jpg
 
Sasa hadi mimi kuanzia mechi inaanza mpaka inaisha sijarudi humu nikashinda uzi wa hawa watu hamkujua kwamba matokeo yalishaandikwa?

Sasa kuna watu online wakina Redknapp na wenzao wanasema eti Arsenal ilitakiwa tusiache gap la goli moja pekee so next match tupo hatihati.

Punda kabisa.

Msimu huu Arsenal kacheza mechi zaidi ya 25 na kapoteza mbili tu. Hizo mbili kapoteza wapi? Away. Kwa Liver na kwa Villa.

Hakuna timu imeenda Fly Emirates na ikaondoka na ushindi, Chelsea watafanya nini sasa? Huu mpira wao wa hizi flicks na kukimbia ndiyo uwape matokeo?

Hehehe
 
Castr
Mkuu kwenye post ya thread ya Manchester united umekosa huruma na ubinadamu.

Yaani ni zile umemkamata mwizi unapiga anazimia unamwagia maji akiamka unapiga anakata moto unamkorogea uji anapata nguvu kipigo kinaanza upya.That was very inhuman.

Siku hizi flano kapotea kabisa.piga spana mkuu
 
Castr
Mkuu kwenye post ya thread ya Manchester united umekosa huruma na ubinadamu.

Yaani ni zile umemkamata mwizi unapiga anazimia unamwagia maji akiamka unapiga anakata moto unamkorogea uji anapata nguvu kipigo kinaanza upya.That was very inhuman.

Siku hizi flano kapotea kabisa.piga spana mkuu
Na refer post yako ya jumatatu
 
😂😂😂 false hopers bana umemaliziaje hapo chini.
Vipi kuhusu gyokeres? “ana mikimbio flani hivi na kupress sana hata asipofunga anasaidia team kubalance “ hizi sababu za kila false hoper, nyinyi gyokeres afunge au aendelee ku press na kubalance team.
Narudia tena MSIMU HUU ARSENAL ANATOKA BILA KOMBE LOLOTE
We Lofa....tukishabeba kombe tutakukaribisha kwny sherehe za ubingwa uje uhudhurie maana tunajua Bado ww ni mwenzetu ila una act kama hutupendi hivi🤠🤠...welcome to the Gyokeres show
 
Castr
Mkuu kwenye post ya thread ya Manchester united umekosa huruma na ubinadamu.

Yaani ni zile umemkamata mwizi unapiga anazimia unamwagia maji akiamka unapiga anakata moto unamkorogea uji anapata nguvu kipigo kinaanza upya.That was very inhuman.

Siku hizi flano kapotea kabisa.piga spana mkuu
Ndugu yangu acha twende nao sawa
 
Antonie semenyo
Marc Guehi...

Guardiola anazidi kuwapakia mkongo.... tukutane may ! Huyu jamaa hana huruma
 
Mechi 32.

Umeshinda 26.

Umesuluhu nne.

Umefungwa 2.

Halafu pimbi mmoja yupo Dongobesh anaandika utumbo wa kushinda akifika Fly Emirates.

Mwingine yupo Uwanja wa Fisi anakutajia Semenyo na Guehi.

Jinga
 
EPL UCL msahau ....

Nyie wasindikizaji tu ndaza kabisa !

Tupo phase ya ngapi?

Arteta ni tapeli
 
Back
Top Bottom