Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hawa bournemouth wanakabia sana katikati na wanakuwa wengi.. inabidi wakati wakutoka ,fullback mmoja wa arsenal awe anakuja kuombea kati mipira.
 
Kipindi cha kwanza chote hakukua na important action ya kuonyesha timu inataka ushindi.

Njia zipo wazi watu wanalazimisha kurudisha mpira nyuma na sideway passes. Hakuna ambaye amekuja kutafuta ushindi.

Odegaard anapewa mpira ndani ya box, yupo peke yake hajisumbui hata kugeuka anarudisha mpira nyuma.
 
Arsenal kisasi kitalipwa Leo Cha Bournemouth, msimu uliopita nje ndani mmechapika, ngoja tuone sub za Saka na Jesus zitaongeza au kupunguza nini
 
It's Arsenal against the world.
SnapInsta.to_610825457_18145800973451958_2885123813701442505_n.jpg
 
Back
Top Bottom