Sisi chelkenge kesho tunampa yote man cty ajipigie tuu
Weka mali yako ya nyuma bond, kama una jiaminiSisi chelkenge kesho tunampa yote man cty ajipigie tuu
Chelkenge kesho tunakufa nyingi, namuua chelkenge kwenye mikeka ynguWeka mali yako ya nyuma bond, kama una jiamini
Ongezea na Bournemouth japo na ushindi juuKama masihara ila mpaka sasa hivi timu pekee iliyoziona nyavu za Arsenal mara mbili kwenye mechi moja ni Sunderland na Aston Villa
Duuh tunatamani mchukue ubingwa lakini sio kirahisi hivyo mdomoni tu, msimu wa 2022/23 if not mistaken, mlikuwa mnaongoza Ligi Kwa kipindi kirefu km Liverpool msimu Jana, Hadi kufika mwanzoni mwa Aprili gepu na mshindi2 Mancity ilikuwa ni zaidi pointi8/9 ivi bwana bwanaa kilichokuja kutoka, Yale ya klopp na guadiola kufukuzana Kwa gepu la pointi1 kuanzia Januari mpk May na Kukosa ubingwa.....Arsenal Bado mechi 17 tutangaze ubingwa
Ukitoa kenge, nyumbu, spurs, bournemouth, hizo ni must win games technically tutakua tumebakisha michezo 13 kutangazwa ubingwa
Happy new year