Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wolves wanaenda kukutana na kitu cha hatari sana leo
Screenshot_20251213_222040_FotMob.jpg
 
Naona siku za false hopes zimeongezeka wolves alikua anazimaliza leo leo.
False hopers ili mgombanie ubingwa atleast mnahitaji midfielders zenye akili na miguu kama ya trossard na sio wavunja kuni.
 
Naona siku za false hopes zimeongezeka wolves alikua anazimaliza leo leo.
False hopers ili mgombanie ubingwa atleast mnahitaji midfielders zenye akili na miguu kama ya trossard na sio wavunja kuni.
Umeshindwa kulala kazi kuiwangia Tu Arsenal😏
Mara hii utateseka sana
 
Umeshindwa kulala kazi kuiwangia Tu Arsenal😏
Mara hii utateseka sana
Hii Arsenal wala haihitaji kuwangiwa hii ukishafika x mass inaanza kujiwangia automatic. Huwezi kunielewa kwa sasa subiri April au march kidogo ndo huwa mnaanza kupata akili misukule
 
Hii Arsenal wala haihitaji kuwangiwa hii ukishafika x mass inaanza kujiwangia automatic. Huwezi kunielewa kwa sasa subiri April au march kidogo ndo huwa mnaanza kupata akili misukule
Newcastle yako inao uwezo wa kututoa pale juu au anabwabwaja tu
 
Sijui nianze wapi ila hii ni performance ya hovyo.

Hii performance imetuonyesha bado hatuna dawa ya wapaki basi na bado tunabreak vizuri tu under pressure.

Ona goli la pili la Villa na ona goli la kusawazisha la Wolves.

Bado Saliba na Magalhaes ni best CB combo kwetu.

Bado forward zinawaza kusomba sifa individually na haziwazii timu.

Usually hii ni dalili ya disaster
 
Hii Arsenal wala haihitaji kuwangiwa hii ukishafika x mass inaanza kujiwangia automatic. Huwezi kunielewa kwa sasa subiri April au march kidogo ndo huwa mnaanza kupata akili misukule
Mlikuwa mmetuzoea Sana ila nakuhakikishia huu msimu tunachukua point zote 6 kutoka kwenu.Tatu tayari zipo kibindoni.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    40.2 KB · Views: 10
Kila timu ikipaki basi huonekana bora dhidi ya Arsenal, mifano ya hivi karibuni ni Chelsea, Villa na leo Wolves.

Notice kwamba timu zipo radhi kupaki basi dhidi ya Arsenal ila siyo dhidi ya wapinzani wengine.

Kuna comments alitoa mchezaji wa United alisema "Timu zikicheza na sisi zinacheza zikiamini zinachukua point" tukitumia hii logic ni kumaanisha kwamba Wolves alicheza na City akiamini atachukua points pia?

Akaamua kujiachia bila kupaki basi na akafa 4 bila.

Iangalie Palace kesho.

My point is that we have to play our games. The most stubborn side will go and give our opponents every opportunity imaginable.
 
halaand ana pambaniwa ili apate mpira pale city, sisi arsenal kila mtu ana selfish mode.

Gyokeres ana struggle sana kupata mpira, yaani winga za pembeni hazina maajabu.
Ødegaard kila mpira unaopata anataka ampasie Saka.
Arteta really needs to address this sternly.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom