16 bora lazima tutoboe mzee hilo halina shaka. Shaka ipo kwenu tu maana mnatoka zero trophy au unataka kubisha?Kuna muda niliacha mnaongoza sasa hivi nakuta mmesuluhu. Mtatoboa playoffs kweli nyinyi?
Mnatoboaje sasa? Msimu uliopita si mliishia makundi?16 bora lazima tutoboe mzee hilo halina shaka. Shaka ipo kwenu tu maana mnatoka zero trophy au unataka kubisha?
Itakuwa saliba nadhani lakin...Baba mwenye nyumba karudi mzee wa kazi chafu. Si ajabu baada ya hapa tukaanza kuscore conners
Roboti Gyokere tutaanza kumdiscus lini? au mikimbio mizuri inatosha?Wolves wanaenda kukutana na kitu cha hatari sana leo
View attachment 3515246
Tukutane baada ya dakika 90Roboti Gyokere tutaanza kumdiscus lini? au mikimbio mizuri inatosha?
Tafuta kazi ufanye mechi inaisha sare hiiWakuu msaada link ku Livestream hii gemu
Ongeza sauti.Baada ya goli wameacha kupaki basi
Umeshindwa kulala kazi kuiwangia Tu Arsenal😏Naona siku za false hopes zimeongezeka wolves alikua anazimaliza leo leo.
False hopers ili mgombanie ubingwa atleast mnahitaji midfielders zenye akili na miguu kama ya trossard na sio wavunja kuni.
Hii Arsenal wala haihitaji kuwangiwa hii ukishafika x mass inaanza kujiwangia automatic. Huwezi kunielewa kwa sasa subiri April au march kidogo ndo huwa mnaanza kupata akili misukuleUmeshindwa kulala kazi kuiwangia Tu Arsenal😏
Mara hii utateseka sana
Newcastle yako inao uwezo wa kututoa pale juu au anabwabwaja tuHii Arsenal wala haihitaji kuwangiwa hii ukishafika x mass inaanza kujiwangia automatic. Huwezi kunielewa kwa sasa subiri April au march kidogo ndo huwa mnaanza kupata akili misukule
Mie nilitizama kipindi kimoja tu nikakosa matumaini..makaveli10 oya walipo funga goli nime tukana bro😂😁
Nilivyo ona wame sawazisha, nika chimba chap. bahati ime rejea.Mie nilitizama kipindi kimoja tu nikakosa matumaini..
Sikuangalia kabisa kipindi cha pili