kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,118
- 15,682
Mpaka kufika January 15 huko City atakuwa anaongoza ligi na gap la point kuanzia 5... Mark this comment !
Pep akishaongoza ligi kwisha habari yenu, mnamjua jamaa habahatishi na mwendo mtakuwa mmeumaliza ! Poleni sana wafukuza upepo
Pep akishaongoza ligi kwisha habari yenu, mnamjua jamaa habahatishi na mwendo mtakuwa mmeumaliza ! Poleni sana wafukuza upepo