Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,319
- 5,074
baada ya siku 22 tutakutana nao tena pale emirates na ndio utkw mwisho wa unyonge wetu kwao. COYG🔴⚪️
pattern ya zubi na odergard haijawahi kufanya kazi, shida arteta ana kaza bichwa Sana.Ndio vizuri, akija akaze matako, hakuna mwenye timu yake hapo.. ushindani na upana wa kikosi ni jambo la msingi saana
Ila hii komedi show team 🤣baada ya siku 22 tutakutana nao tena pale emirates na ndio utkw mwisho wa unyonge wetu kwao. COYG🔴⚪️
View attachment 3512513
Jana tumefedheheka, huu sio wakati wa kuangusha point.. na game ile ilikuwa ni muhimu kupata point sana, maana mpinzani wetu aliangusha point palepattern ya zubi na odergard haijawahi kufanya kazi, shida arteta ana kaza bichwa Sana.
sio mbaya, kituo kinacho fata lazima tukaze kweli kweli.Jana tumefedheheka, huu sio wakati wa kuangusha point.. na game ile ilikuwa ni muhimu kupata point sana, maana mpinzani wetu aliangusha point pale
Mwaka wa tano huu hisabati ni izi izi na arteta wenu mwisho wa ligi nafasi ya piliArsenal timu pekee tulopoteza mechi mbili tu.
Next game ni dhidi ya Wolverhampton Wanderers na tutarudi kuwa 5 points clear.
Manchester City wana game baada ya sisi next Saturday.
Hamna wasiwasi ila mechi na Everton itasumbua.
Liverpool walituacha Arsenal points 8. Mlikua hampigi hizi hesabu.Kula kujilamba
🤣 umerudia chama lakoArsenal losing ni kutukumbusha kwamba we are human, and then we start terrorizing everyone.
baada ya siku 22 tutakutana nao tena pale emirates na ndio utkw mwisho wa unyonge wetu kwao. COYG🔴⚪️
View attachment 3512513
Hesabu hazikupigwa sababu aliyeachwa alikua ni Arsenal ( false hoper). Liverpool aliwaacha point 8 na akaenda kuchukua ubingwa.Liverpool walituacha Arsenal points 8. Mlikua hampigi hizi hesabu.
Arsenal tumekaa juu kwa tofauti ya points nane mkapiga hesabu mkasema hata hivyo mechi bado nyingi.
Mimi nakuambia hapa mwanetu mechi bado nyingi
Liver kachukua ubingwa upi wakati msimu haujaisha? Upo sawa kichwani?Hesabu hazikupigwa sababu aliyeachwa alikua ni Arsenal ( false hoper). Liverpool aliwaacha point 8 na akaenda kuchukua ubingwa.
Hesabu zinapigwa arsenal akikaa juu kwasababu mmoja aliyepo juu ni false hoper, man city mlimuacha point 8 now zimebaki 2 .
Tuombee man city kwenye mbio za ubingwa asiwe na arsenal maana ubingwa utakua mweupe sana kwa city , as usual kwenye ubingwa ukishaona anaikukimbiza ni arsenal wewe anza kusherekea ubingwa maana arsenal ni furahisha ligi na si title contender.
Hujui kwamba liverpool ni bingwa mtetezi?, ubingwa wa mwaka jana muda kama huu liverpool alikua kakuzidi points ngapi?Liver kachukua ubingwa upi wakati msimu haujaisha? Upo sawa kichwani?
H
Hujui kwamba liverpool ni bingwa mtetezi?, ubingwa wa mwaka jana muda kama huu liverpool alikua kakuzidi points ngapi?
Mmetoka points 8 mpaka 2 tena hizo 2 ni kwq man city team yenye kocha mzoefu kuliko yeyote pale EPL na hizi mbio za kukimbizana anaziweza sana.
Kubali ukate arsenal mwendo mmeumaliza mapema sana wakuu au hili unabisha pia?
Mwendo wa nini?H
Hujui kwamba liverpool ni bingwa mtetezi?, ubingwa wa mwaka jana muda kama huu liverpool alikua kakuzidi points ngapi?
Mmetoka points 8 mpaka 2 tena hizo 2 ni kwq man city team yenye kocha mzoefu kuliko yeyote pale EPL na hizi mbio za kukimbizana anaziweza sana.
Kubali ukate arsenal mwendo mmeumaliza mapema sana wakuu au hili unabisha pia?
Stress zitoke wapi wakati kuna woltermade pale st james mzee.Mimi naongelea msimu huu Liver alitengeneza hilo gap. Una stress za nini babu