Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,243
- 76,793
Unajua kama Arsenal imeshafuzu raundi ya 16 CL na ipo nafasi ya kwanza kila kombe? Nyinyi mmebaki kwenye makombe mangapi?Mwendo wa ubingwa, aston villa alinipigia ball tamu sana una enjoy kabisa yaani pass zinaenda kwenye njia team inatengeneza space and chances za kueleweka. Nyinyi mnasubiri mipira ya kona ndo mshinde.
For 22 years lakini bado mnafanya utani sana yaani EPL unyanyue kwa magoli ya kona !! Mko serious kweli nyie vibaka 😂