Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Mwendo wa ubingwa, aston villa alinipigia ball tamu sana una enjoy kabisa yaani pass zinaenda kwenye njia team inatengeneza space and chances za kueleweka. Nyinyi mnasubiri mipira ya kona ndo mshinde.Mwendo wa nini?
For 22 years lakini bado mnafanya utani sana yaani EPL unyanyue kwa magoli ya kona !! Mko serious kweli nyie vibaka 😂