Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwendo wa nini?
Mwendo wa ubingwa, aston villa alinipigia ball tamu sana una enjoy kabisa yaani pass zinaenda kwenye njia team inatengeneza space and chances za kueleweka. Nyinyi mnasubiri mipira ya kona ndo mshinde.

For 22 years lakini bado mnafanya utani sana yaani EPL unyanyue kwa magoli ya kona !! Mko serious kweli nyie vibaka 😂
 
Stress zitoke wapi wakati kuna woltermade pale st james mzee.
Hilo gap la liver la point 8 mwanzo wa ligi pia ulikua unalihesabu mzee? False hopers gap atleast tunaanza kulihesabu match ya 12 iviii au msimu wa x mass kama huu .
Woltermade si kiazi tu anashindwa kuwaokoa na hizo loss tano na kua nafasi ya 12
 
Woltermade si kiazi tu anashindwa kuwaokoa na hizo loss tano na kua nafasi ya 12
Woltemade akiwa kiazi jokeres atakua nan? yaan mnauziwa linyanyua vyuma ndo mshinde ligi kweli?
Jokeri likifika goli 15 msimu huu itakua ajabu la 8 , chezaji control chumba kizima.
Woltermade control na mikimbio ya maana , mpaka magoli ya visigino linapiga.
 
Newcastle nafasi ya 12 isikupe shida kadri mnavyoshuka na sisi ndo tunavyozidi kupanda .
Kwa hisani ya buendia naitafuta ile picha rice na zubimendi wamelala chini huku raya akichimba uwanja
 
Mwendo wa ubingwa, aston villa alinipigia ball tamu sana una enjoy kabisa yaani pass zinaenda kwenye njia team inatengeneza space and chances za kueleweka. Nyinyi mnasubiri mipira ya kona ndo mshinde.

For 22 years lakini bado mnafanya utani sana yaani EPL unyanyue kwa magoli ya kona !! Mko serious kweli nyie vibaka 😂
Unajua kama Arsenal imeshafuzu raundi ya 16 CL na ipo nafasi ya kwanza kila kombe? Nyinyi mmebaki kwenye makombe mangapi?
 
Newcastle nafasi ya 12 isikupe shida kadri mnavyoshuka na sisi ndo tunavyozidi kupanda .
Kwa hisani ya buendia naitafuta ile picha rice na zubimendi wamelala chini huku raya akichimba uwanja
Ile mentality timu yako ya wachezaji hadi wanasusa kurudi uwanjani ili waende Liverpool hamtakuja kuipata
 
Unajua kama Arsenal imeshafuzu raundi ya 16 CL na ipo nafasi ya kwanza kila kombe? Nyinyi mmebaki kwenye makombe mangapi?
Kufuzu 16 bora kitu gani zaidi ya false hopes tu , mpo nafasi ya kwanza kila kombe lakini msimu ukiisha mtaondoka na zero trophy. PIN hii comment halafu usubiri May uone kama ni uongo.

Newcastle kuna kombe hatupo nembu nitajie mmoja? Nina uhakika 100% EPL hamchukui huko uefa ndo kabisa sikuweki kabisa.
 
Kufuzu 16 bora kitu gani zaidi ya false hopes tu , mpo nafasi ya kwanza kila kombe lakini msimu ukiisha mtaondoka na zero trophy. PIN hii comment halafu usubiri May uone kama ni uongo.

Newcastle kuna kombe hatupo nembu nitajie mmoja? Nina uhakika 100% EPL hamchukui huko uefa ndo kabisa sikuweki kabisa.
Mchezaji wenu bora kabisa aliwapima akawaona hamna futue kafosi kusepa
 
Ile mentality timu yako ya wachezaji hadi wanasusa kurudi uwanjani ili waende Liverpool hamtakuja kuipata
Isak kasusa wapi zile ni mbinu tu ya timu kupiga pesa ndefu Paundi 150 unachukulia masihara nini? Arsenal toka inaanzishwa mpaka leo hata kuuza mchezaji paundi 50 haijawahi kutokea.

Waliosusa wanajulikana kina fabregas mpaka wakatoa hela mfukoni waondoke arsenal kina clichy walikimbia usiku usiku kina nasri kina sagna hao ndo wasusaji sio geordie , hakuna geordie msusaji legend mwenyewe , henry alikimbia team
 
Isak kasusa wapi zile ni mbinu tu ya timu kupiga pesa ndefu Paundi 150 unachukulia masihara nini? Arsenal toka inaanzishwa mpaka leo hata kuuza mchezaji paundi 50 haijawahi kutokea.

Waliosusa wanajulikana kina fabregas mpaka wakatoa hela mfukoni waondoke arsenal kina clichy walikimbia usiku usiku kina nasri kina sagna hao ndo wasusaji sio geordie , hakuna geordie msusaji legend mwenyewe , henry alikimbia team
Arsenal ni timu kubwa haitegemei kujiendesha kwa kuuza wachezaji. Timu kubwa zilizouza wachezaji 50M kupanda hazifanyi hivyo kila msimu.

Ila iangalie Brighton na Newcastle. Liverpool anakuja anakuambia nigee Isak nikuachie Hugo, kesho anakuambia namchukua Isak na ninamchukua Hugo na huna cha kumfanya. Kinda la Liverpool Rio linaona bora likae benchi la Liverpool ila siyo aende Newcastle.

Mid team vibes
 
Arsenal ni timu kubwa haitegemei kujiendesha kwa kuuza wachezaji. Rimu kubwa zilizouza wachezaji 50M kupanda hazifanyi hivyo kila msimu.

Ila iangalie Brighton na Newcastle
Ukubwa wa arsenal upo wapi boss? Madrid na ukubwa wake wote anauza wachezaji kwa bei ndefu tu, barcelona na ukubwa wake pia kauza wachezaji kwa bei ndefu tu.
Nionyeshe ukubwa wa arsenal kidogo.

Madrid kauza ronaldo, di maria na ozil kawauzia kwa bei kubwa. Barcelona pia ivyo ivyo sanchez aliuzwa bei kubwa mpaka wanangu wa chelsea pia kila siku wanawapiga kwa madueke na kai havertz.

Sasa unaposema arsenal team kubwa unaongelea ukubwa upi ? Maana team kubwa zote zinauza wachezaji kwa bei kubwa.
 
Screenshot_20251210-220552~2.jpg
 
Ukubwa wa arsenal upo wapi boss? Madrid na ukubwa wake wote anauza wachezaji kwa bei ndefu tu, barcelona na ukubwa wake pia kauza wachezaji kwa bei ndefu tu.
Nionyeshe ukubwa wa arsenal kidogo.

Madrid kauza ronaldo, di maria na ozil kawauzia kwa bei kubwa. Barcelona pia ivyo ivyo sanchez aliuzwa bei kubwa mpaka wanangu wa chelsea pia kila siku wanawapiga kwa madueke na kai havertz.

Sasa unaposema arsenal team kubwa unaongelea ukubwa upi ? Maana team kubwa zote zinauza wachezaji kwa bei kubwa.
Mkuu naona umeamua kupiga za kibofu tu.😂
 
Mkuu naona umeamua kupiga za kibofu tu.😂
Mkuu hawa nawajua vizuri sana sio kwa kubahatisha maana wamenilisha false hopes zaidi ya miaka 20. Hakuna kitu wataniambia nisikijue.

Nimeshuhudia mambo mengi sana kwenye false hopes hizi, nimeshuhudia gallas akigoma kutoka uwanjan baada ya kupoteza mbio za ubingwa, nimeshuhudia goli 8 za maumivu, nimeshuhudia tukikosa kombe mbele ya wigan.
Nimeshuhudia barca akitunyang’anya kombe kuanzia dk 72. Nimeshuhudia clichy akilambisha nyasi na cr7 na kupigwa goal umbali wa mita 100.
Drogba akitutesa mpaka kumpiga push lehman, hazard akikokota kijiji kina coquelin.
Mourinho kunitesea wenger , kipigp mpaka refa anachanganyikiwa anampa chamberlain redcard badala ya gibbs.

All in all arsenal inatesa wazeee😂😂 poleni sana ndugu zangu kina castr, embu fikiria mkorea, hamiss77 aka jack will power also known as aron arsenal wamelikimbia jukwaa lao hata game theory tu alianzisha hii thread hajawahi kuona arsenal ikibeba EPL.
 
Ukubwa wa arsenal upo wapi boss? Madrid na ukubwa wake wote anauza wachezaji kwa bei ndefu tu, barcelona na ukubwa wake pia kauza wachezaji kwa bei ndefu tu.
Nionyeshe ukubwa wa arsenal kidogo.

Madrid kauza ronaldo, di maria na ozil kawauzia kwa bei kubwa. Barcelona pia ivyo ivyo sanchez aliuzwa bei kubwa mpaka wanangu wa chelsea pia kila siku wanawapiga kwa madueke na kai havertz.

Sasa unaposema arsenal team kubwa unaongelea ukubwa upi ? Maana team kubwa zote zinauza wachezaji kwa bei kubwa.
Kwanini haujui kusoma unaacha details ndogo ndogo?
 
Castr alikua anatafuta tu sababu ya kukimbia jukwaa yaani tusingetumia nguvu kumtafuta angeingia mitini kabisa . Castr tafuta sababu nyingine ya kulikimbia jukwaa na si ile ya usajili wa winga teleza madueke
Kuna muda niliacha mnaongoza sasa hivi nakuta mmesuluhu. Mtatoboa playoffs kweli nyinyi?
 
Back
Top Bottom