ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,144
Bado hujasema😃😃😃So painful
Bado hujasema😃😃😃So painful
Ratiba nyepesi sana kwa artetaNi mwezi umekaa vibaya.
10th December ni CL na Club Brugge (Away)
13th December VS Wolves (Emirates)
20th December Vs Everton (Away)
27th December VS Brighton (Emirates)
30th December Vs Aston Villa (Emirates) mzunguko wa pili waanza.
Pia kuna mechi na Cystal Palace ya robo fainali ya Cup.
Hivyo December ni mwezi mgumu kwahiyo resilience is the key.
Kacheze playstation uwafungeAstonvilla Wanaleta mazoea ya kisenge
🤣🤣🤣😂 Mpaka ifike Februari tutarudi kule kule kwenye Arteta Out
Ila mm nilijua tu kwa hawa Villa tunaweza kuacha alama na kweli imetokea 💔Tumenyooshwa.
Yaani ukiwa hujazoea kufungwa unaona haustahili haya matokeo
Kufungwa kupo mkuu 😂.Amka ndotoni
Arsenal timu pekee tulopoteza mechi mbili tu.Ratiba nyepesi sana kwa arteta
Na badooo, kenge nyieSo painful
Huyo Saka aliwahi kufanya kitu gani kikubwa duniani kuhusu football? Mnaokota watoto huko "fom foo" ndio wawape kombe. KENGE nyie.Forwad saka eti akupeni nyie ubingwa hivi mna kichaa?