Sawa, baada ya hapo mkapata mafanikio gani?Nimekuta X shabiki wa City anasema wamefikia hatua wanaomba Mungu Chelsea amzuie Arsenal. Kuna jamaa akapost tu hii picha
View attachment 3507904
Ukisearch humu utakuta nilishasema.Sawa, baada ya hapo mkapata mafanikio gani?
2021/2022 Baada ya arsenal kumfunga Chelsea nje ndani lakini bado Chelsea akashinda UCL
2025 baada ya arsenal kumfunga Chelsea, lakini bado Chelsea akawa bingwa wa dunia.
Sasa mkuu, em nipeni mafanikio yenu baada ya kumfunga Chelsea.
Ivi kuna siku mnakosa sababu.....Gabriel angekwepo angefunga?Kwa atmosphere ya game ya Leo,
Ukizingatia hii ni derby,
Mfuatano wa tough matches ambazo tumecheza consecutively,
Majeruhi ya saliba na Gabby kwenye defense,
sequence ya ushindi ambao tumepata mfululizo dhidi ya Chelsea na ukizingatia kwa form aliyonayo Chelsea;Haya sio matokeo mabaya.
Hongereni Chelsea ila Bravo arsenal
😂Arsenal tunachotaka ni kumfunga Chelsea na Manchester United tu.
Mafanikio ni hayo tu. Hizi bragging rights ndiyo sisi tunazitaka.
Hayo makombe ni makombe ya arsenal ni yapi sasa 😂 mnahesabu hadi makombe ya mbuzi
Kama unaweza chukua. Amka kesho ukiwa nafasi ya kwanza😂
Kumbe haya mafanikio yenu hayamzuii Chelsea kuendelea kuchukua makombe 😂
Mwaka huu tumeshinda kombe la dunia, vp hadi hii mnaiweka kwenye historia?Mashabiki wa Madrid na wa Chelsea wakigundua wanazidiwa hoja kimbilio lao linabaki kukumbushia historia.
Kombe la dunia ipi babu?Mwaka huu tumeshinda kombe la dunia, vp hadi hii mnaiweka kwenye historia?
Makombe ni process ambayo nyie hamuiwezi, ndio mana mwanzo wa ligi mnafanya vzr sana ila kumalizia ndo mnaanza kurukarukaKama unaweza chukua. Amka kesho ukiwa nafasi ya kwanza
Huwezi kulijua mana hujawah kushiriki hata kuwa kama mgeni rasmiKombe la dunia ipi babu?
Hilo kombe halina tofauti na Audi cup au Emirates Cup.Huwezi kulijua mana hujawah kushiriki hata kuwa kama mgeni rasmi
Hatuiwezi process? Sasa tunakuaje na makombe 48 nyinyi mnakua nayo 33?Makombe ni process ambayo nyie hamuiwezi, ndio mana mwanzo wa ligi mnafanya vzr sana ila kumalizia ndo mnaanza kurukaruka
Haya nambie kombe la maana ambalo nyie mnalo afu Chelsea hanaHilo kombe halina tofauti na Audi cup au Emirates Cup.
Ndiyo sababu kocha wenu alisema aliwaambia wachezaji wake washinde kwakua linaweza kua na umuhimu siku za usoni.
Sasa utumbo hauna umuhimu na kocha wenu anajua unakuja kupigia kelele watu?
Hayo makombe 48 n makombe yapi hayo mkuu?Hatuiwezi process? Sasa tunakuaje na makombe 48 nyinyi mnakua nayo 33?
Unavuta bangi bruv?
Ah unarudia tena kufanya spinningHaya nambie kombe la maana ambalo nyie mnalo afu Chelsea hana
Unataka niorodheshe makombe 48 hapa? Ili tu nikuridhishe mtu sikujui hunijui?Hayo makombe 48 n makombe yapi hayo mkuu?
Haya, kati ya hayo 48 onyesheni kombe moja la nje ya UK
Elewa swali.Unataka niorodheshe makombe 48 hapa? Ili tu nikuridhishe mtu sikujui hunijui?
Upo serious nigga?