Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila tulipofanya kitu ambacho ni nje ya ile rigidness tulikua threat. Rice kudribble ni nje ya rigidness inayotaka asimame atoe pasi.

Cross ya Calafiori, long ball ya Eze. Tumekua encouraged kucheza vile kutokana na Bayern kuamua kutupress na high line.

Hii mechi aliyehisi hatushindi yupo sahihi, tutashinda ila kwa ugumu yupo sahihi na tutashinda tukiamua yupo sahihi pia.

Bado Chelsea
 
Sasa hivi kila mmoja anaona City ilifanya uamuzi sahihi kupaki basi
 
Ndiyo nikasema Chelsea akicheza kama alivyocheza jana anakufa tano tena
Mkuu Chelsea ni mwanaume asiye tabilika huwa tunacheza kulingana na mpinzani alivyo nakuambia hivi jumapili mtatupa heshima
 
Bado sitaki kUshangilia saaana!
Bado hatujatwaa kikombe cha aina yoyote!
Ila inshallah
C O Y G
 
Msitoe siri wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…