Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa hivi kila mmoja anaona City ilifanya uamuzi sahihi kupaki basi
 
Ndiyo nikasema Chelsea akicheza kama alivyocheza jana anakufa tano tena
Mkuu Chelsea ni mwanaume asiye tabilika huwa tunacheza kulingana na mpinzani alivyo nakuambia hivi jumapili mtatupa heshima
 
Bado sitaki kUshangilia saaana!
Bado hatujatwaa kikombe cha aina yoyote!
Ila inshallah
C O Y G
 
Msitoe siri wakuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…