Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Magalhae Gabriel ni liability kwa Arsenal,
Against Man City yeye alikuwa ndio sababu ya goli na leo ndio kaguswa kajiangusha, mchezaji mzuri lakini mzembe kwenye kazi
Ni kweli vs City alikutwa out of position.. lakini bado yeye ni binadamu km wewe, ana mazuri mengi ukiondoa makosa machache.

Na pia ni moja ya mabeki wetu bora na yuko strong sana even more than Saliba km unafuatilia vizuri comments za baadhi ya wachezaji.. ni hivyo tu ana nyota mbaya na muda mwengine haongelewi au hapewi sifa anayostahili, sifa anaishia kupewa Saliba.
 
snapins-ai_3731766739718759914.jpg
 
Dakika 90 Newcastle tunamkanda
Hii game mimi nilishaiona kwenye sub nilizokua nazifikiria na kocha kapita mule mule

Newcastle waliamua kukaa nyuma, kama unataka ushindi basi lazima mmoja atupishe rice au zubimendi

Watu wa ku-disturb defense line hapo ndio unaona ata downman panapobidi aingie tu

Kipindi cha pili ndio tuliingia kama arsenal
 
Hii game mimi nilishaiona kwenye sub nilizokua nazifikiria na kocha kapita mule mule

Newcastle waliamua kukaa nyuma, kama unataka ushindi basi lazima mmoja atupishe rice au zubimendi

Watu wa ku-disturb defense line hapo ndio unaona ata downman panapobidi aingie tu

Kipindi cha pili ndio tuliingia kama arsenal
Next 2 games za arsenal ni olympiacos, na west ham.

Liverpool next 2 games ni Galatasaray, Chelsea.

I smell something good hapa.
 
EXCLUSIVE: Arsenal’s penalty at Newcastle should not have been overturned, says ex-ref Mark Halsey:

🗣️ "Viktor Gyokeres penalty should not have been overturned. Nick Pope got a touch on the ball but he did not win the ball. The touch does not negate the award of a penalty.

"Gyokeres played it onto Pope, that is how he got the touch and then there is a late challenge and brings him down. Why did VAR get involved? It was not a clear and obvious error from referee Jarred Gillett. The on-field decision should have stood.

"How many times do you see a foul given for a player that wins the ball and follows through? The touch does not mean it is not a penalty. VAR should not have got involved."
 
Back
Top Bottom