makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,744
- 103,664
🤣🤣We kenge, huwezi kuniambia nitafute pesa hali ya kuwa sijawahi kukuomba msaada, familia yangu haili kwako,Toa hiyo chuki, tafuta Hela huo muda wa kunichukia Mimi😂😂
Nimekoment humu, umeumia
Kumbe uliweka chuki kifuani, halafu sio mara ya kwanza ,awali nilijua ulipitiwa ,kumbe Bado una hasira na Mimi😂😂
Unapata wapi ujeuri wa kuniambia nitafute pesa 🤣😂
Narudia tena katika vitu siwezi maishani basi ni KUCHUKIA MTU, sijawahi kabisa kuwa na k8tu hicho moyoni.
Kikubwa tu mwanetu mie huwa nakuenjoy sababu ni kama mtu ambae kuna nati kichwani hazipo sawa vile.
😂🤣