Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Toa hiyo chuki, tafuta Hela huo muda wa kunichukia Mimi😂😂

Nimekoment humu, umeumia

Kumbe uliweka chuki kifuani, halafu sio mara ya kwanza ,awali nilijua ulipitiwa ,kumbe Bado una hasira na Mimi😂😂
🤣🤣We kenge, huwezi kuniambia nitafute pesa hali ya kuwa sijawahi kukuomba msaada, familia yangu haili kwako,
Unapata wapi ujeuri wa kuniambia nitafute pesa 🤣😂

Narudia tena katika vitu siwezi maishani basi ni KUCHUKIA MTU, sijawahi kabisa kuwa na k8tu hicho moyoni.

Kikubwa tu mwanetu mie huwa nakuenjoy sababu ni kama mtu ambae kuna nati kichwani hazipo sawa vile.
😂🤣
 
🤣🤣🤣 Ila ndugu yangu Masingeli kwa hili unazingua kinoma,
Hili jukwaa la michezo hua linatukutanisha na kutuunganisha watu wa jinsia zote, dini zote, vyama vyote na makabila yote na tunajihisi wote ni kitu kimoja.
Ukitaka kuanzisha mambo ya dini au vyama utaliharibu hili jukwaa na kusababisha hata watu wa timu moja wachukiane na waanzishe vita ya wenyewe kwa wenyewe humu.
Kuna majukwaa tofauti tofauti na kila jukwaa lina kazi yake, mtu mwenye busara kila kitu hukiweka mahala pake.
Naunga mkono hoja yako, jamaa ni mbugila sana😂😁.

Mpira haujui, dini zenyewe hazijui, ana ruka huku ana kata gogo.
 
Una chuki na Mimi Hadi unatia aibu,

Kisa niliucharura uislamu?😂😂

Ndio maana lihamia X kidogo Kuna wenye elimu, nacharura nao kuhusu Uislamu,halafu kwenye issues za Arsenal tupo pamoja na tunasaidiana

Kumbe wewe huku umeweka chuki 😂😂😂

Unataman unimeze kabisa
🤣🤣🤣 Ila ndugu yangu Masingeli kwa hili unazingua kinoma,
Hili jukwaa la michezo hua linatukutanisha na kutuunganisha watu wa jinsia zote, dini zote, vyama vyote na makabila yote na tunajihisi wote ni kitu kimoja.
Ukitaka kuanzisha mambo ya dini au vyama utaliharibu hili jukwaa na kusababisha hata watu wa timu moja wachukiane na waanzishe vita ya wenyewe kwa wenyewe humu.
Kuna majukwaa tofauti tofauti na kila jukwaa lina kazi yake, mtu mwenye busara kila kitu hukiweka mahala pake.
 
Wamekuambia ukweli.
Huna unalolijua kuhusu bolu,, tuliza makalio hayo,, nenda kanange dini za watu hilo unaliweza.
halafu jamaa hajui ana simamia nini, tuna zungumza mpira kakimbilia dini which is which.

2023 alikuwa ana kuja na uchambuzi wa kuunga unga Sana, halafu tuki pigwa huyoo ana enda kuimba taarab.

Safari hii atulie, arsenal icheze mpira ye abaki shabiki macho tu.
 
Una chuki na Mimi Hadi unatia aibu,

Kisa niliucharura uislamu?😂😂

Ndio maana lihamia X kidogo Kuna wenye elimu, nacharura nao kuhusu Uislamu,halafu kwenye issues za Arsenal tupo pamoja na tunasaidiana

Kumbe wewe huku umeweka chuki 😂😂😂

Unataman unimeze kabisa
Siwezi kukuchukia mshamba wewe, nachukia ujinga na upuuzi wako.

jifunze kutofautiasha mtu na hoja binafsi, najua huwezi kujua hili kwakuwa dishi lako lina kutu kitambo.
 
Siwezi kukuchukia mshamba wewe, nachukia ujinga na upuuzi wako.

jifunze kutofautiasha mtu na hoja binafsi, najua huwezi kujua hili kwakuwa dishi lako lina kutu kitambo.
Masikini umejawa hasira😂
🤣🤣🤣 Ila ndugu yangu Masingeli kwa hili unazingua kinoma,
Hili jukwaa la michezo hua linatukutanisha na kutuunganisha watu wa jinsia zote, dini zote, vyama vyote na makabila yote na tunajihisi wote ni kitu kimoja.
Ukitaka kuanzisha mambo ya dini au vyama utaliharibu hili jukwaa na kusababisha hata watu wa timu moja wachukiane na waanzishe vita ya wenyewe kwa wenyewe humu.
Kuna majukwaa tofauti tofauti na kila jukwaa lina kazi yake, mtu mwenye busara kila kitu hukiweka mahala pake.
Kaka sialeta mambo ya dini humu, fatilia comment yangu uone

Nimechangia kuhusu mpira

Sasa hao jamaa wanachuki kuhusu udini, wamenivaa huku

Mimi najitambua ,siwezi kujadili mambo ya dini humu

Mtu aliweka chuki yake kuhusu mambo ya dini ,basi ananivaa huku

Kule Twitter ,nazinguana sana maswala ya dini Tena na Wana arsenal wenzangu,

Lakin kwenye maswala ya Arsenal tunakuwa wamoja na Hadi tunasaidiana kabisa

Sasa nakupa kazi, fatilia hizo comment uone kama Kuna issue ya dini nilipost hapo,

Kama mtu anachuki na mm kuhusu maswala ya dini tukutane kwenye platforms za dini,

Simple tu
 
Halafu hashituki washikaji wote wana kataa uchambuzi na ushabiki wake uchwara,

mpira tuna angalia wote ila yeye ana jikuta Mourinho wa bongo, na sisi hatutaki uwongo humu.
Hii chuki itakuua wewe jamaa ,washkaji gani 🤣

Yaani unasambaza chuki juu yangu ,kisa udini ?🤣🤣

Dini zenyewe hizi za utapeli ?

Hahaaaaaaaaa

Waafrica aliyeturoga sijui nani
 
Naunga mkono hoja yako, jamaa ni mbugila sana😂😁.

Mpira haujui, dini zenyewe hazijui, ana ruka huku ana kata gogo.
Toa sumu, Mimi huniwezi ,sambaza chuki ,kokote ,Mimi huniwezi,

Halafu natamba jukwaa lolote ninalotaka Mimi

Humu nitaingia nitachangia ninavyotaka hakuna anayenizuia
 
🤣🤣We kenge, huwezi kuniambia nitafute pesa hali ya kuwa sijawahi kukuomba msaada, familia yangu haili kwako,
Unapata wapi ujeuri wa kuniambia nitafute pesa 🤣😂

Narudia tena katika vitu siwezi maishani basi ni KUCHUKIA MTU, sijawahi kabisa kuwa na k8tu hicho moyoni.

Kikubwa tu mwanetu mie huwa nakuenjoy sababu ni kama mtu ambae kuna nati kichwani hazipo sawa vile.
😂🤣
Sasa kipi kinakufanya unizungumzie Mimi Mzee ,kwasababu huyo mwenzako kakujaza?

Ulishaona nimeingia humu nikamzungumzia mtu ?

Huo muda mnaupata wapi Mzee
 
Masikini umejawa hasira😂

Kaka sialeta mambo ya dini humu, fatilia comment yangu uone

Nimechangia kuhusu mpira

Sasa hao jamaa wanachuki kuhusu udini, wamenivaa huku

Mimi najitambua ,siwezi kujadili mambo ya dini humu

Mtu aliweka chuki yake kuhusu mambo ya dini ,basi ananivaa huku

Kule Twitter ,nazinguana sana maswala ya dini Tena na Wana arsenal wenzangu,

Lakin kwenye maswala ya Arsenal tunakuwa wamoja na Hadi tunasaidiana kabisa

Sasa nakupa kazi, fatilia hizo comment uone kama Kuna issue ya dini nilipost hapo,

Kama mtu anachuki na mm kuhusu maswala ya dini tukutane kwenye platforms za dini,

Simple tu
🤣🤣🤣 Kuna jamaa hapo umemuita kobazi, mara umeanza kujisifu humu kua kuna watu wanakuchukia kisa unaupiga spana uislamu, hii haileti picha nzuri kwenye jukwaa la michezo.
Yote kwa yote tunaomba busara itumike, mambo ya dini na siasa yana majukwaa yake.
 
🤣🤣🤣 Kuna jamaa hapo umemuita kobazi, mara umeanza kujisifu humu kua kuna watu wanakuchukia kisa unaupiga spana uislamu, hii haileti picha nzuri kwenye jukwaa la michezo.
Yote kwa yote tunaomba busara itumike, mambo ya dini na siasa yana majukwaa yake.
Kwenye sakata hili hamis77 kayumba na yeye ndio kaanza kuleta udini lakini cha ajabu anakataa

Kuna tatizo analo la Kisaikolojia kama la Manara kitu kidogo anaona ananyanyswa kila rangi yake , hata wanalo kutokana sifa Fulani waliyokuwa nayo mfano umasikini basi kila mtu akimwambia ukweli Fulani au jambo ambalo linamkwaza basi anaona anashambuliwa kisa yeye masikini.

hamis77 kwa ninii udhani kila anayekushambulia ni kobaz au anakushambulia kisa chuki za kidini ?

Unajiamisha vipi au unapata viashiria vipi kuwa huyu ananishambulia sababu ya dini au chuki kibafsi mbona jamaa hajaanzisha mambo ya kidini ila wewe tu baada ya kukukosoa ukamuita kobaz ?

Huyo jamaa namjua nje ya Jf kuwa sio Muislamu ila wewe ulimvesha Uilsamu baada ya kukushambulia , hapo hauoni kuwa wewe ndio umeyumba na unamatatizo ?

Tena naweza kuleta ushahidi wa mada zake za nyuma akiponda Uilsamu lakini wewe bila ushahidi na umeshajenga dhana kuwa mtu yeyote anayekushambulia humu Jf ni kobaz.

Mkuu upo emotional unstable unakosa composure unapopata personal attack ya nguvu mpaka unaongea visivyomana na hiyo ni mbaya sana.
 
🤣🤣We kenge, huwezi kuniambia nitafute pesa hali ya kuwa sijawahi kukuomba msaada, familia yangu haili kwako,
Unapata wapi ujeuri wa kuniambia nitafute pesa 🤣😂

Narudia tena katika vitu siwezi maishani basi ni KUCHUKIA MTU, sijawahi kabisa kuwa na k8tu hicho moyoni.

Kikubwa tu mwanetu mie huwa nakuenjoy sababu ni kama mtu ambae kuna nati kichwani hazipo sawa vile.
😂🤣
Ukitaka kujua ushamba wa mtu ndio huo, kidogo tafuta hela as if ulimpa risiti ya kuomba funds kwake.

Habari za mpira, kakimbilia masuala ya hela 😁
 
🤣🤣🤣 Kuna jamaa hapo umemuita kobazi, mara umeanza kujisifu humu kua kuna watu wanakuchukia kisa unaupiga spana uislamu, hii haileti picha nzuri kwenye jukwaa la michezo.
Yote kwa yote tunaomba busara itumike, mambo ya dini na siasa yana majukwaa yake.
Umempa ushauri wa busara sana humu tupo dini kibao, angekua ana akili timamu angekusikiliza ila kwa kuwa dishi limeyumba anakaza fuvu tu.
 
Ukitaka kujua ushamba wa mtu ndio huo, kidogo tafuta hela as if ulimpa risiti ya kuomba funds kwake.

Habari za mpira, kakimbilia masuala ya hela 😁
Achana naye huyo hanaga akili kabisa nashukuru leo mmemtolea uvivu humu.

Jamaa anajikutaga kipanga sana wakati timu ikifungwa anakimbia jukwaa hata miezi 6.

Ana ID tatu to date zote ili kukimbia maoni yake. Jitu lioga kiasi hiki alafu bado anajikuta mjuaji sana.
 
Ukitaka kujua ushamba wa mtu ndio huo, kidogo tafuta hela as if ulimpa risiti ya kuomba funds kwake.

Habari za mpira, kakimbilia masuala ya hela 😁
Huyu ni mufilisi wa hoja 🤣,
Kwanza kaanza na dini, akaona siingiliki, akaja na pesa nako siingiliki, sijui atakuja na nini, jamaa ni katuni kweli kweli, anajiona ana busaaara kumbe ni KILAZA, anapiga kelele za kinafiki, chama likizingua haonekani
 
Back
Top Bottom