Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Atletico walipopigwa goli la kwanza ,wakafunguka

Hapo ndio ilikuwa kosa

Ndani ya dakika 13 chuma 4

Pep siku ile alicheza kama Mourinho,hakuwa mjinga
Naona Umesha anza uchambuzi wako uchwara, halafu tukisha pigwa una kimbia jukwaa na kuanza kuhubiri dini zako uchwara.

Bro uchambuzi huwezi, arsenal tuachie kama ilivyo.

mkorea, makaveli10, HENRY14, Flano, Mbaga Jr.
 
wewe hufai kuwa footballer, heri ucheze mdako kwa hulka yako itakuwa bora.
Jamaa wewe mkorofi sana , ila mwamba kweli Kuna msimu alikuwa anatamva majukwaa mengine kucharua na kuleta uchambuzi mwishoni aseno ilipoanza kufanya vibaya wahuni wakaanza kupiga spana humu kwa hasira mwamba alikinbia na kuachia msala wenzake humu wa nyuki aliochokoza.

Ananikumbusha mwamba Aaron Arsenal Zamani alikuwa na kawaida ya Usnitch wa kukimbia msala timu ikianza kuyumba na kukimbia jukwaa la mapishi.
 
Jamaa wewe mkorofi sana , ila mwamba kweli Kuna msimu alikuwa anatamva majukwaa mengine kucharua na kuleta uchambuzi mwishoni aseno ilipoanza kufanya vibaya wahuni wakaanza kupiga spana humu kwa hasira mwamba alikinbia na kuachia msala wenzake humu wa nyuki aliochokoza.

Ananikumbusha mwamba Aaron Arsenal Zamani alikuwa na kawaida ya Usnitch wa kukimbia msala timu ikianza kuyumba na kukimbia jukwaa la mapishi.
Aaron Arsenal ndio Hamis 77
Mkuu jamaa hana hata akili ya kubadilisha muandiko.
 
Katika vitu siwezi basi ni KUCHUKIA, siwezi kabisa hifadhi chuki moyoni mwangu..
Huwa nakufurahia tu mwanangu, nakuonaga kama katuni fulani hivi, ama hamnazo kama mwezi mchanga hivi, kuna wakati kaskazi, kuna wakati kusi
🤣😂
Toa hiyo chuki, tafuta Hela huo muda wa kunichukia Mimi😂😂

Nimekoment humu, umeumia

Kumbe uliweka chuki kifuani, halafu sio mara ya kwanza ,awali nilijua ulipitiwa ,kumbe Bado una hasira na Mimi😂😂
 
Jamaa wewe mkorofi sana , ila mwamba kweli Kuna msimu alikuwa anatamva majukwaa mengine kucharua na kuleta uchambuzi mwishoni aseno ilipoanza kufanya vibaya wahuni wakaanza kupiga spana humu kwa hasira mwamba alikinbia na kuachia msala wenzake humu wa nyuki aliochokoza.

Ananikumbusha mwamba Aaron Arsenal Zamani alikuwa na kawaida ya Usnitch wa kukimbia msala timu ikianza kuyumba na kukimbia jukwaa la mapishi.
Siwez kukimbia ,halafu humu nilipunguza tu ku comment ,nilihamishia X huko ,

Humu nimekuwa nakuja mara chache sana,

Wanaonijua wanajua kuhusu soccer nafanyia wapi

Kwahiyo nashangaa kukoment humu mtu anajawa hasira
 
wewe hufai kuwa footballer, heri ucheze mdako kwa hulka yako itakuwa bora.
Una chuki na Mimi Hadi unatia aibu,

Kisa niliucharura uislamu?😂😂

Ndio maana lihamia X kidogo Kuna wenye elimu, nacharura nao kuhusu Uislamu,halafu kwenye issues za Arsenal tupo pamoja na tunasaidiana

Kumbe wewe huku umeweka chuki 😂😂😂

Unataman unimeze kabisa
 
Back
Top Bottom