Naona Umesha anza uchambuzi wako uchwara, halafu tukisha pigwa una kimbia jukwaa na kuanza kuhubiri dini zako uchwara.Atletico walipopigwa goli la kwanza ,wakafunguka
Hapo ndio ilikuwa kosa
Ndani ya dakika 13 chuma 4
Pep siku ile alicheza kama Mourinho,hakuwa mjinga
Pumbavu ,sijachambua kukufurahisha wewe ,Naona Umesha anza uchambuzi wako uchwara, halafu tukisha pigwa una kimbia jukwaa na kuanza kuhubiri dini zako uchwara.
Bro uchambuzi huwezi, arsenal tuachie kama ilivyo.
mkorea, makaveli10, HENRY14, Flano, Mbaga Jr.
Matako yake..Naona Umesha anza uchambuzi wako uchwara, halafu tukisha pigwa una kimbia jukwaa na kuanza kuhubiri dini zako uchwara.
Bro uchambuzi huwezi, arsenal tuachie kama ilivyo.
mkorea, makaveli10, HENRY14, Flano, Mbaga Jr.
wewe hufai kuwa footballer, heri ucheze mdako kwa hulka yako itakuwa bora.Pumbavu ,sijachambua kukufurahisha wewe ,
Kaa mbali na hii akaunt
Una chuki na Mimi?😂😂kobazMatako yake..
🤣🤣
Huwez kunipangia kitu kobaz,wewe hufai kuwa footballer, heri ucheze mdako kwa hulka yako itakuwa bora.
mimi sio kobazi wala padre hilo nili weke wazi,ila uki niambia kati ya dini na andazi nita chagua andazi.Huwez kunipangia kitu kobaz,
Kama una chuki na mm kula limao
Ungekuwa max ,ungenipiga ban ya maisha😂😂
Humu naingia jukwaa lolote ,maana hunilipii bando ,shenzi
Wamekuambia ukweli.Una chuki na Mimi?😂😂kobaz
Katika vitu siwezi basi ni KUCHUKIA, siwezi kabisa hifadhi chuki moyoni mwangu..Una chuki na Mimi?😂😂kobaz
Kajamaa ni kaongo kinomaaa.Katika vitu siwezi basi ni KUCHUKIA, siwezi kabisa hifadhi chuki moyoni mwangu..
Huwa nakufurahia tu mwanangu, nakuonaga kama katuni fulani hivi, ama hamnazo kama mwezi mchanga hivi, kuna wakati kaskazi, kuna wakati kusi
🤣😂
Kajamaa ni kaongo kinomaaa.
Ni jamii ya wale watu vilaza ila wanajikuta na akili kinooooma 🤣😂Kajamaa ni kaongo kinomaaa.
Umepiga kama Vincenzo haucheki na nyani usoni 😄😆🙌Naona Umesha anza uchambuzi wako uchwara, halafu tukisha pigwa una kimbia jukwaa na kuanza kuhubiri dini zako uchwara.
Bro uchambuzi huwezi, arsenal tuachie kama ilivyo.
mkorea, makaveli10, HENRY14, Flano, Mbaga Jr.
Jamaa wewe mkorofi sana , ila mwamba kweli Kuna msimu alikuwa anatamva majukwaa mengine kucharua na kuleta uchambuzi mwishoni aseno ilipoanza kufanya vibaya wahuni wakaanza kupiga spana humu kwa hasira mwamba alikinbia na kuachia msala wenzake humu wa nyuki aliochokoza.wewe hufai kuwa footballer, heri ucheze mdako kwa hulka yako itakuwa bora.
Aaron Arsenal ndio Hamis 77Jamaa wewe mkorofi sana , ila mwamba kweli Kuna msimu alikuwa anatamva majukwaa mengine kucharua na kuleta uchambuzi mwishoni aseno ilipoanza kufanya vibaya wahuni wakaanza kupiga spana humu kwa hasira mwamba alikinbia na kuachia msala wenzake humu wa nyuki aliochokoza.
Ananikumbusha mwamba Aaron Arsenal Zamani alikuwa na kawaida ya Usnitch wa kukimbia msala timu ikianza kuyumba na kukimbia jukwaa la mapishi.
Toa hiyo chuki, tafuta Hela huo muda wa kunichukia Mimi😂😂Katika vitu siwezi basi ni KUCHUKIA, siwezi kabisa hifadhi chuki moyoni mwangu..
Huwa nakufurahia tu mwanangu, nakuonaga kama katuni fulani hivi, ama hamnazo kama mwezi mchanga hivi, kuna wakati kaskazi, kuna wakati kusi
🤣😂
Siwez kukimbia ,halafu humu nilipunguza tu ku comment ,nilihamishia X huko ,Jamaa wewe mkorofi sana , ila mwamba kweli Kuna msimu alikuwa anatamva majukwaa mengine kucharua na kuleta uchambuzi mwishoni aseno ilipoanza kufanya vibaya wahuni wakaanza kupiga spana humu kwa hasira mwamba alikinbia na kuachia msala wenzake humu wa nyuki aliochokoza.
Ananikumbusha mwamba Aaron Arsenal Zamani alikuwa na kawaida ya Usnitch wa kukimbia msala timu ikianza kuyumba na kukimbia jukwaa la mapishi.
Una chuki na Mimi Hadi unatia aibu,wewe hufai kuwa footballer, heri ucheze mdako kwa hulka yako itakuwa bora.